CHADEMA: Wateule wa Rais wapitishwe bungeni

CHADEMA: Wateule wa Rais wapitishwe bungeni

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) wametoa wito kuwa katika Katiba Mpya ambayo wanaidai iwe na kipengele kinachotaka wateule wa Rais wapitishwe Bungeni kisha wandelee na kazi zao

Hayo yataepusha kuwa na watumishi ambao hawana weledi na watumishi ambao wanarekodi ya matukio ya uhalifu huko nyuma

Pia wamesema itasaidia kupunguza idadi ya watumishi wanaowajibika kwa Rais pekee ili wawe wanawajibika kwa umaa kwa ujumla
 
Kuna hoja. Iboreshwe zaidi. Kwamb Bunge liwe na mamlaka ya kumhoji DC au RC pale anapoonekana kutenda kinyume.

Lakini Je Kwa Hunge kama Lipi?
 
Kwa hili bunge la kipuuzi lenye uwakilishi wa chama kimoja hata wakipitishwa bungeni bado hapatakuwa na maana, watawabeba watu wao ili kujipendekeza kwa mwenyekiti wao, labda bunge la Katiba Mpya liwe na wabunge wanaojielewa.
 
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) wametoa wito kuwa katika Katiba Mpya ambayo wanaidai iwe na kipengele kinachotaka wateule wa Rais wapitishwe Bungeni kisha wandelee na kazi zao

Hayo yataepusha kuwa na watumishi ambao hawana weledi na watumishi ambao wanarekodi ya matukio ya uhalifu huko nyuma

Pia wamesema itasaidia kupunguza idadi ya watumishi wanaowajibika kwa Rais pekee ili wawe wanawajibika kwa umaa kwa ujumla
Katiba mpya ipi?!!!

Ndotoni labda....
 
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) wametoa wito kuwa katika Katiba Mpya ambayo wanaidai iwe na kipengele kinachotaka wateule wa Rais wapitishwe Bungeni kisha wandelee na kazi zao

Hayo yataepusha kuwa na watumishi ambao hawana weledi na watumishi ambao wanarekodi ya matukio ya uhalifu huko nyuma

Pia wamesema itasaidia kupunguza idadi ya watumishi wanaowajibika kwa Rais pekee ili wawe wanawajibika kwa umaa kwa ujumla
Bunge lipi sasa?

Hili la upande mmoja? Au bunge jingine?

Ni hoja nzuri lakini may not hold water in the current political environment
 
Mibunge hii ya Tanzania inayosinzia tu bungeni?
Bora tufanye kama wenzetu kenya,kuwe na tume ya utumishi itayokua inawafanyia interview hao wateuliwa.
 
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) wametoa wito kuwa katika Katiba Mpya ambayo wanaidai iwe na kipengele kinachotaka wateule wa Rais wapitishwe Bungeni kisha wandelee na kazi zao

Hayo yataepusha kuwa na watumishi ambao hawana weledi na watumishi ambao wanarekodi ya matukio ya uhalifu huko nyuma

Pia wamesema itasaidia kupunguza idadi ya watumishi wanaowajibika kwa Rais pekee ili wawe wanawajibika kwa umaa kwa ujumla
Hawa wateule wanrais si ni makada wa chama? Kuna mawili, eidha CCM wataukataa au wakikubali kwa kuwa bunge ni rubber stamp, watawapitisha bila kuwachunguza
 
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) wametoa wito kuwa katika Katiba Mpya ambayo wanaidai iwe na kipengele kinachotaka wateule wa Rais wapitishwe Bungeni kisha wandelee na kazi zao

Hayo yataepusha kuwa na watumishi ambao hawana weledi na watumishi ambao wanarekodi ya matukio ya uhalifu huko nyuma

Pia wamesema itasaidia kupunguza idadi ya watumishi wanaowajibika kwa Rais pekee ili wawe wanawajibika kwa umaa kwa ujumla
Akili tupu, hongera CDM!
 
Bunge gani linaloongelewa hapa?hili hili likiguswa mishahar na posho zao linasahau cha upinzani wala chama tawala wote wanaungana kupinga pesa zao kuguswa
 
Kwani wao wanawajibika kwa nani, viongozi wao huwa wanawapitishwa na nani nao kila siku wanunga juhudi na kuhama huko?
 
Kuna hoja. Iboreshwe zaidi. Kwamb Bunge liwe na mamlaka ya kumhoji DC au RC pale anapoonekana kutenda kinyume.

Lakini Je Kwa Hunge kama Lipi?
Shida ni kwamba bunge ni la chama kimoja, na wateule wote ni ccm, unategemea kutakua na jipya hapo? Tatizo ni kubwa kukiko tunavyodhani
 
Afadhali kama Hilo bunge lingekuwepo,

Kwa Sasa kufanya hivo ni upumbavu wa hali ya juu Sana.
 
Back
Top Bottom