Lissu anaweza sana Mbowe alikuwa legelege.Ukiangalia Ratiba kwa sasa imeshakua ngumu, Reform ni mchakato mkubwa unaohusisha mpaka Bunge,
Bunge limebakiza takribani miezi sita tu kuvunjwa, hizo sheria na katiba atarekebisha nani?
Mda umebaki kidogo sana hii kitu tumeshachelewa haiwezekani kabisa, hili vuguvugu ilipaswa lianze tangu mwaka jana au mwaka juzi, kwa sasa ngoma bi ngumu
Tujipange labda mwakani ndio vuguvugu lianze
Soma: Tunasubiria Kuona Utekelezaji wa "No reform, No Election" ya Tundu Lissu
Busara ni ujinga kwani hayo maneno ndo tunayasikia Leo kila ikikaribia uchaguzi ccm kusema muda umebaki kidogo, kwani Nani huwa anakulaga huo mudaUkiangalia Ratiba kwa sasa imeshakua ngumu, Reform ni mchakato mkubwa unaohusisha mpaka Bunge,
Bunge limebakiza takribani miezi sita tu kuvunjwa, hizo sheria na katiba atarekebisha nani?
Mda umebaki kidogo sana hii kitu tumeshachelewa haiwezekani kabisa, hili vuguvugu ilipaswa lianze tangu mwaka jana au mwaka juzi, kwa sasa ngoma bi ngumu
Tujipange labda mwakani ndio vuguvugu lianze
Soma: Tunasubiria Kuona Utekelezaji wa "No reform, No Election" ya Tundu Lissu
Muda umeenda maana ake niniUkiangalia Ratiba kwa sasa imeshakua ngumu, Reform ni mchakato mkubwa unaohusisha mpaka Bunge,
Bunge limebakiza takribani miezi sita tu kuvunjwa, hizo sheria na katiba atarekebisha nani?
Mda umebaki kidogo sana hii kitu tumeshachelewa haiwezekani kabisa, hili vuguvugu ilipaswa lianze tangu mwaka jana au mwaka juzi, kwa sasa ngoma bi ngumu
Tujipange labda mwakani ndio vuguvugu lianze
Soma: Tunasubiria Kuona Utekelezaji wa "No reform, No Election" ya Tundu Lissu
Ukiangalia Ratiba kwa sasa imeshakua ngumu, Reform ni mchakato mkubwa unaohusisha mpaka Bunge,
Bunge limebakiza takribani miezi sita tu kuvunjwa, hizo sheria na katiba atarekebisha nani?
Mda umebaki kidogo sana hii kitu tumeshachelewa haiwezekani kabisa, hili vuguvugu ilipaswa lianze tangu mwaka jana au mwaka juzi, kwa sasa ngoma bi ngumu
Tujipange labda mwakani ndio vuguvugu lianze
Soma: Tunasubiria Kuona Utekelezaji wa "No reform, No Election" ya Tundu Lissu
Mapendekezo ya kipumbavu kabisa..moja ya mapendekezo ni kusogeza mbele uchaguzi mkuu mpaka 2016 ili kutoa nafasi kwa mabadiliko madogo ya Katiba, yatakayowezesha kuundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi.
..kinachotakiwa kufanyika ni kutolewa kwa RATIBA / TIME TABLE ya jinsi mchakato unavyotakiwa kufanyika ili kuwezesha mageuzi yanayopigiwa chapuo.
Mapendekezo ya kipumbavu kabisa
Uchaguzi upo, Japanese, acha kulialia..sio ya kipumbavu.
..Ndio njia muafaka ya kupata Tume huru kabla ya kuingia ktk uchaguzi
Kama alivyo mama yakoHicho chama kimejaa wapumbavu wengi, hawatakuelewa
Aiseeemoja ya mapendekezo ni kusogeza mbele uchaguzi mkuu mpaka 2016
Aiseee
Wewe ndio wale watu wa mapangoni?
Umetozekezea ukidhani ndio tunaanza millenia....