Pre GE2025 CHADEMA watumie busara "NO REFORM, NO ELECTION" Haiwezekani muda umeshatuacha!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

muafi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
2,557
Reaction score
6,128
Ukiangalia Ratiba kwa sasa imeshakua ngumu, Reform ni mchakato mkubwa unaohusisha mpaka Bunge,

Bunge limebakiza takribani miezi sita tu kuvunjwa, hizo sheria na katiba atarekebisha nani?

Mda umebaki kidogo sana hii kitu tumeshachelewa haiwezekani kabisa, hili vuguvugu ilipaswa lianze tangu mwaka jana au mwaka juzi, kwa sasa ngoma bi ngumu

Tujipange labda mwakani ndio vuguvugu lianze

Soma: Tunasubiria Kuona Utekelezaji wa "No reform, No Election" ya Tundu Lissu
 
Lissu anaweza sana Mbowe alikuwa legelege.
 
Busara ni ujinga kwani hayo maneno ndo tunayasikia Leo kila ikikaribia uchaguzi ccm kusema muda umebaki kidogo, kwani Nani huwa anakulaga huo muda
 
Suala la uchaguzi wa 2025 sio la kushtukiza madai ya cdm ni ya muda mrefu ila wenye mamlaka hawakutaka kuyafanyia kazi huo muda umeishaje.Endeleeni na vyama vingine vilivyobaki na hii itapelekea kushinda pasipo shida vp hampendi mpate mteremko?
 
Muda umeenda maana ake nini
 

..moja ya mapendekezo ni kusogeza mbele uchaguzi mkuu mpaka 2016 ili kutoa nafasi kwa mabadiliko madogo ya Katiba, yatakayowezesha kuundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi.

..kinachotakiwa kufanyika ni kutolewa kwa RATIBA / TIME TABLE ya jinsi mchakato unavyotakiwa kufanyika ili kuwezesha mageuzi yanayopigiwa chapuo.
 
Mapendekezo ya kipumbavu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…