Uungwana ni vitendo
Baada ya kuthibitishwa na aliyekuwa Mjumbe wa kamati Juu ya Chadema inayopitisha Majina ya Wabunge wa Viti maalumu Kwamba wale COVID 19 ni Wake wa Viongozi wa Chadema ni wakati Sasa Chadema waombe msamaha Kwa Ndugai, Magufuli, CCM na Wananchi Kwa Ujumla
Ni hilo tu
Happy New Year ๐