Pre GE2025 CHADEMA wazidi kuwakataa wabunge 19 waliopo Bungeni. Tundu Lissu akomaa na vita ya Rushwa, wajumbe wamuunga mkono kwa kishindo

Pre GE2025 CHADEMA wazidi kuwakataa wabunge 19 waliopo Bungeni. Tundu Lissu akomaa na vita ya Rushwa, wajumbe wamuunga mkono kwa kishindo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Baadhi ya mambo yaliyojitokeza kwenye majadiliano ya CHADEMA ni pamoja na kupenyezwa kwa hoja ya kuwasamehe wabunge 19 warejee kwenye chama. Wajumbe kwa kauli moja wamewakataa wabunge hao na kudai waliona wao ni muhimu kuliko chama waende kwa aliyewapeleka bungeni.

Hoja ya rushwa pia ilitikisa ambapo baadhi ya watu waliokuwa wanatumiwa na CCM kuchafua hali ya hewa wamejikuta wakikemewa kwa nguvu kubwa. Wajumbe kwa kauli moja wametamka kutokumuunga mkono kiongozi yeyote atakayepokea mlungula au kutumia pesa kupata madaraka

Aidha, wajumbe wamemuunga mkono Lissu kuhusu Muungano na Katiba mpya na kwamba hoja yake iendelee kupigiwa kelele bila soni kwa lengo la kuwakumbusha watawala kwamba nchi ni mali ya wananchi.

Awali CCM walipandkiza watu wakuvuruga mchakato jambo lililopelekea chadema kuweka mchakato wa mchujo wa wazi ambao umezima kelele zilizokuwa zinatolewa na baadhi ya viongozi wa CCM.

Ngoma imerudi uwanjani.
 
Covid 19 wakirejeshwa Chadema watakuwa wamewarejesha akina Zitto 19 kwenye chama
 
Baadhi ya mambo yaliyojitokeza kwenye majadiliano ya CHADEMA ni pamoja na kupenyezwa kwa hoja ya kuwasamehe wabunge 19 warejee kwenye chama. Wajumbe kwa kauli moja wamewakataa wabunge hao na kudai waliona wao ni muhimu kuliko chama waende kwa aliyewapeleka bungeni.

Hoja ya rushwa pia ilitikisa ambapo baadhi ya watu waliokuwa wanatumiwa na CCM kuchafua hali ya hewa wamejikuta wakikemewa kwa nguvu kubwa. Wajumbe kwa kauli moja wametamka kutokumuunga mkono kiongozi yeyote atakayepokea mlungula au kutumia pesa kupata madaraka

Aidha, wajumbe wamemuunga mkono Lissu kuhusu Muungano na Katiba mpya na kwamba hoja yake iendelee kupigiwa kelele bila soni kwa lengo la kuwakumbusha watawala kwamba nchi ni mali ya wananchi.

Awali CCM walipandkiza watu wakuvuruga mchakato jambo lililopelekea chadema kuweka mchakato wa mchujo wa wazi ambao umezima kelele zilizokuwa zinatolewa na baadhi ya viongozi wa CCM.

Ngoma imerudi uwanjani.
Wacha inogile
 
Baadhi ya mambo yaliyojitokeza kwenye majadiliano ya CHADEMA ni pamoja na kupenyezwa kwa hoja ya kuwasamehe wabunge 19 warejee kwenye chama. Wajumbe kwa kauli moja wamewakataa wabunge hao na kudai waliona wao ni muhimu kuliko chama waende kwa aliyewapeleka bungeni.

Hoja ya rushwa pia ilitikisa ambapo baadhi ya watu waliokuwa wanatumiwa na CCM kuchafua hali ya hewa wamejikuta wakikemewa kwa nguvu kubwa. Wajumbe kwa kauli moja wametamka kutokumuunga mkono kiongozi yeyote atakayepokea mlungula au kutumia pesa kupata madaraka

Aidha, wajumbe wamemuunga mkono Lissu kuhusu Muungano na Katiba mpya na kwamba hoja yake iendelee kupigiwa kelele bila soni kwa lengo la kuwakumbusha watawala kwamba nchi ni mali ya wananchi.

Awali CCM walipandkiza watu wakuvuruga mchakato jambo lililopelekea chadema kuweka mchakato wa mchujo wa wazi ambao umezima kelele zilizokuwa zinatolewa na baadhi ya viongozi wa CCM.

Ngoma imerudi uwanjani.
Mkuu 'Resilience', una chanzo chochote cha taarifa hii; isije ikawa tunajadili matamanio yako tu kwa mambo ambayo ungetamani wayafanye CHADEMA.

Taarifa ni nzuri kama ni kweli, nadhani ingetakiwa sasa kuwa wawazi zaidi na shutuma za namna hii.

Hao waliotaka kupenyeza swala la COVID 19, tena wamo ndani ya Kamati Kuu, hawa ni adui wa chama hicho hawatakiwi tena kuendelea kuwa viongozi kwenye ngazi hiyo.

Hali kadhalika, kuhusu swala la rushwa, watu wanaojulikana kujihusisha na uovu huo, tena wakishirikiana na CCM, hao ni sumu ndani ya chama. Huwezi kuishi umeshikilia kichupa cha sumu kila siku. Kuna siku utajisahau na kudhani unaweka sukari kwenye chai yako, kumbe unajimaliza.
Hao maadui wa CHADEMA wanajulikana. Hawawezi kubadilika.
 
Baadhi ya mambo yaliyojitokeza kwenye majadiliano ya CHADEMA ni pamoja na kupenyezwa kwa hoja ya kuwasamehe wabunge 19 warejee kwenye chama. Wajumbe kwa kauli moja wamewakataa wabunge hao na kudai waliona wao ni muhimu kuliko chama waende kwa aliyewapeleka bungeni.

Hoja ya rushwa pia ilitikisa ambapo baadhi ya watu waliokuwa wanatumiwa na CCM kuchafua hali ya hewa wamejikuta wakikemewa kwa nguvu kubwa. Wajumbe kwa kauli moja wametamka kutokumuunga mkono kiongozi yeyote atakayepokea mlungula au kutumia pesa kupata madaraka

Aidha, wajumbe wamemuunga mkono Lissu kuhusu Muungano na Katiba mpya na kwamba hoja yake iendelee kupigiwa kelele bila soni kwa lengo la kuwakumbusha watawala kwamba nchi ni mali ya wananchi.

Awali CCM walipandkiza watu wakuvuruga mchakato jambo lililopelekea chadema kuweka mchakato wa mchujo wa wazi ambao umezima kelele zilizokuwa zinatolewa na baadhi ya viongozi wa CCM.

Ngoma imerudi uwanjani.
Kuna pikipki za kichina zinaitwa JINYEE, JINYEE MOTORCYCLES FACTORY, China naona utakuwa umeipanda, angalia usijinyee mmepigwa chini, mkono haujakatika bali umeambulia Jinyee pikipiki 😀 😀 😀 😀 rafiki wangu wa JF
Jinyee Motorcycle Co., Ltd. Supplier from China
 
HALIMA MDEE NA GENGE LAKE NI WASALITI HAWANA NAFASI TENA CHADEMA KAMA CHADEMA IMEKUWA BILA WAO KWA MIAKA 5 YA USALITI NI WAZI INAWEZA KUENDELEA BILA WAO MILELE
 
Baadhi ya mambo yaliyojitokeza kwenye majadiliano ya CHADEMA ni pamoja na kupenyezwa kwa hoja ya kuwasamehe wabunge 19 warejee kwenye chama. Wajumbe kwa kauli moja wamewakataa wabunge hao na kudai waliona wao ni muhimu kuliko chama waende kwa aliyewapeleka bungeni.

Hoja ya rushwa pia ilitikisa ambapo baadhi ya watu waliokuwa wanatumiwa na CCM kuchafua hali ya hewa wamejikuta wakikemewa kwa nguvu kubwa. Wajumbe kwa kauli moja wametamka kutokumuunga mkono kiongozi yeyote atakayepokea mlungula au kutumia pesa kupata madaraka

Aidha, wajumbe wamemuunga mkono Lissu kuhusu Muungano na Katiba mpya na kwamba hoja yake iendelee kupigiwa kelele bila soni kwa lengo la kuwakumbusha watawala kwamba nchi ni mali ya wananchi.

Awali CCM walipandkiza watu wakuvuruga mchakato jambo lililopelekea chadema kuweka mchakato wa mchujo wa wazi ambao umezima kelele zilizokuwa zinatolewa na baadhi ya viongozi wa CCM.

Ngoma imerudi uwanjani.
Kwa maamuzi haya ccm watalalamika
 
Baadhi ya mambo yaliyojitokeza kwenye majadiliano ya CHADEMA ni pamoja na kupenyezwa kwa hoja ya kuwasamehe wabunge 19 warejee kwenye chama. Wajumbe kwa kauli moja wamewakataa wabunge hao na kudai waliona wao ni muhimu kuliko chama waende kwa aliyewapeleka bungeni.

Hoja ya rushwa pia ilitikisa ambapo baadhi ya watu waliokuwa wanatumiwa na CCM kuchafua hali ya hewa wamejikuta wakikemewa kwa nguvu kubwa. Wajumbe kwa kauli moja wametamka kutokumuunga mkono kiongozi yeyote atakayepokea mlungula au kutumia pesa kupata madaraka

Aidha, wajumbe wamemuunga mkono Lissu kuhusu Muungano na Katiba mpya na kwamba hoja yake iendelee kupigiwa kelele bila soni kwa lengo la kuwakumbusha watawala kwamba nchi ni mali ya wananchi.

Awali CCM walipandkiza watu wakuvuruga mchakato jambo lililopelekea chadema kuweka mchakato wa mchujo wa wazi ambao umezima kelele zilizokuwa zinatolewa na baadhi ya viongozi wa CCM.

Ngoma imerudi uwanjani.

mwanzo wa kikao hadi mwisho wa kikao agenda ni CCM tu 🤣

hata mtoa hoja kajaa CCM tyuu 🐒
hakuna chama cha siasa hapo 🐒
 
Back
Top Bottom