CHADEMA: What on earth is this?

CHADEMA: What on earth is this?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Katika pita pita zangu nikajikuta nimetembelea tovuti yahttp://www.chadema.net na mara moja macho yangu yakavutwa kama na sumaku na maneno haya yaliyo katika ukurasa wa mbele.

Nilipoyasoma mara ya kwanza niliyapita bila kuyatafakari. Niliporudia tena na nikizingatia kuwa kama ni mtu ambaye ni mgeni na ninapita kujifunza kuhusu chama nikabakiwa na hilo swali..:

What is wrong with this?

flag3.gif


Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama mbadala kinachokua na kinachoongozwa kwa Falsafa ya "Nguvu ya Umma" na kuamini katika itikadi ya "Mrengo wa Kati". CHADEMA kinataka Watanzania waelewe kuwa Mabadiliko ya kweli yataletwa kwa kubadilisha mfumo mzima wa utawala. Maendeleo ya kweli hayawezi kuletwa na mafisadi walewale, wa chama kilekile, chenye uoza uleule, wakiendeleza yaleyale kwa ari, nguvu na kasi mpya. Haya yamethibitishwa na Serikali ya awamu ya nne kwani sera na juhudi zao zimeambulia kutuletea usanii mpya, maahadi mapya na hakuna jipya; Kwao maisha bora ni kwa kila fisadi!

blank.gif
 
Kama viongozi wa chadema ni akina Asha Abdallah, what do you expect!!! Utafikiri chama cha mipasho!!!

Wandugu upinzani bado saaana!
 
If Chuo Cha Mafisadi (CCM) turn tu Chama Cha Mapinduzi then will get it wrong. Ijapokuwa was not supposed to be at front page.
 
Last edited:
Katika pita pita zangu nikajikuta nimetembelea tovuti yahttp://www.chadema.net na mara moja macho yangu yakavutwa kama na sumaku na maneno haya yaliyo katika ukurasa wa mbele.

Nilipoyasoma mara ya kwanza niliyapita bila kuyatafakari. Niliporudia tena na nikizingatia kuwa kama ni mtu ambaye ni mgeni na ninapita kujifunza kuhusu chama nikabakiwa na hilo swali..:

What is wrong with this?

flag3.gif




blank.gif

Binafsi sioni tatizo kubwa isipokuwa wange elezea utangulizi wa chama zaidi badala ya kuweka shutuma dhidi ya ccm pamoja na utangulizi wa chama chao. Nadhani hili ni la kurekebisha tu.
 
What's the big deal? Kilichoandikwa hapo kimeshasemwa na CHADEMA mara nyingi ni leo tu mnegundua hilo? They have been saying this for a few years now and it just sounds like old news.......it has actually never been news.

Hapo ninavyoona wameelezea kuhusu kwa nini wao wanastahili kutawala as opposed to CCM which is the ruling party. There are more important issues to be discussed then this.
 
What's the big deal? Kilicho andikwa hapo kimesha semwa na Chadema mara nyingi ni leo tu mnegundua hilo? They have been saying this for a few years now and it just sounds like old news.......it has actually never been used. Hapo ninavyoona wameelezea kuhusu kwa nini wao wanastahili kutawala as opposed to CCM which is the ruling party. There are more important issues to be discussed then this.

Tuko pamoja mkuu,

Mimi pia ninavyoona hakuna tatizo kwa sababu si kila kitu kiwafurahishe waCCM.
 
Kama viongozi wa chadema ni akina Asha Abdallah, what do you expect!!! Utafikiri chama cha mipasho!!!

Wandugu upinzani bado saaana!


Siyo lazima kila liandikwalo liwafurahishe ninyi mliokwisha kunywa maji ya bendera ya jembe na nyundo!!!
 
1. Nimevutiwa na neno "mbadala" japo huo mbadala umejaa utete/utata wa "itikadi"!
2. Nimechanganywa na "falsafa ya nguvu ya umma" isiyopingana na "mrengo wa kati"!
3. Nimefadhaishwa na uchambuzi na maana ya "mabadiliko" na "maendeleo' ya kweli"!
 
Ndio politike ya Tanzania kaka bila kufanya hivyo upati wafuasi, watanzania wengi hawaamini kama wao ni vyanzo vya matatizo isipokuwa kuna mwengine ndio tatizo na wao ni safi hata kama wao ni sehemu ya matatizo hayo.

Siasa hii ya kunyosheana vidole ndio inayowahakikisha CCM utawala wa kudumu, mwisho wa siku ni hoja dhaifu na hafifu.
 
Tuko pamoja mkuu,

Mimi pia ninavyoona hakuna tatizo kwa sababu si kila kitu kiwafurahishe waCCM.

Ni kweli mkuu. Hapa hakuna tatizo lolote. They have just used sarcasm to express their message. Mimi sioni kabisa tatizo hapa. Labda mkuu MM aje mwenyewe atuambie ni nini haswa kimemuudhi hapa.
 
Binafsi tatizo langu ni hiyo bendera. Hii rangi "Working as a Group - Team Work" inasimama kumaanisha nini?
Nakumbuka zamani bendera ilikuwa ya blue bahari peke yake na hiyo nembo ya vema.. sasa hii red inanishinda kujua inawakilisha nini. Vinginevyo kuhusu hayo maelezo sina tatizo kabisa.
 
Sorry hi Working as Team Group" imeingia kimakosa.... ilitakiwa isomeke hiyo rangi "NYEKUNDU"
SAMAHANI KWA USUMBUFU WANA JAMII
 
They can and should write the same thing in a more polished, politically accepted (a politically correct euphemism for "politically correct") way.

To begin with, I don't know what is "mrengo", although I know about mlengo if that is what they mean. The site could use some proofreading.

I suspect Mwanakijiji's objection is over the divisiveness of the rhetoric. There is a very thin line between the revolutionary firebrand "kumkoma nyani" talk, that is much needed dare I say, and divisive talk.And it is all in the art of expression, the same things expressed differently may come out as either divisive or revolutionary.

They should stick with the revolutionary ideals because that is needed, however the litany of blanket divisive rhetoric should be elevated to the level of informed and informing content, balancing diplomacy with revolutionary ideals without sacrificing opposition while maintaining leadership. Obviously no easy task, but neither is Ikulu and bunge.

So if CHADEMA wants to take Ikulu and Bunge they can start demonstrating their reliability and leadership by having a commensurate website.
 
Maendeleo ya kweli hayawezi kuletwa na mafisadi walewale, wa chama kilekile, chenye uoza uleule, wakiendeleza yaleyale kwa ari, nguvu na kasi mpya.

Anamaanisha maendeleo ya kweli yataletwa na mafisadi ambao hawako CCM?
 
Kama hayo yaliyoandikwa yako sawa, then chama mbadala hakina vision, huwezi kufirikia kwa mtizamo wa karibu kiasi hicho.

Huwezi kufikiria utakuwa mpinzani forever, huwezi kufirikia siku zote mpinzani wako ni CCM?

Huwezi fikiria always issue ni mafisadi...

It is real a shame, chama kinaandika dira yake kama shairi la rusha roho!
 
Katika pita pita zangu nikajikuta nimetembelea tovuti yahttp://www.chadema.net na mara moja macho yangu yakavutwa kama na sumaku na maneno haya yaliyo katika ukurasa wa mbele.

Nilipoyasoma mara ya kwanza niliyapita bila kuyatafakari. Niliporudia tena na nikizingatia kuwa kama ni mtu ambaye ni mgeni na ninapita kujifunza kuhusu chama nikabakiwa na hilo swali..:

What is wrong with this?

flag3.gif




blank.gif
Mkuu MMKjj, leo imekuwaje? Wengi humu tunafikiri wewe ni Chadema, sasa haya mambo si mungeyajadili kwenye vikao vyenu vya ndani?
 
Katika pita pita zangu nikajikuta nimetembelea tovuti yahttp://www.chadema.net na mara moja macho yangu yakavutwa kama na sumaku na maneno haya yaliyo katika ukurasa wa mbele.

Nilipoyasoma mara ya kwanza niliyapita bila kuyatafakari. Niliporudia tena na nikizingatia kuwa kama ni mtu ambaye ni mgeni na ninapita kujifunza kuhusu chama nikabakiwa na hilo swali..:

What is wrong with this?

flag3.gif




blank.gif

Duh!
sema wewe maana nakumbuka nilishawah kuileta kama hii lakini nadhani ilikuwa inazungumzia foreign policy na wakanishut down

sasa mindhali umeileta I hope wenyewe watakuja hapa specifically kwa ajili ya kujibu hoja hii

duh!

ebwana huko salama maana this is unusual
 
Mkuu MMKjj, leo imekuwaje? Wengi humu tunafikiri wewe ni Chadema, sasa haya mambo si mungeyajadili kwenye vikao vyenu vya ndani?


hata mimi nimeshangaa maaana JF na CHADEMA sawa na samaki na maji huwezi kuandika chochote kumcriticise Freeman au CHADEMA maana chances itaondolewa au itafutwa

mimi leo bado nipo kwenye shock!
 
Kama hayo yaliyoandikwa yako sawa, then chama mbadala hakina vision, huwezi kufirikia kwa mtizamo wa karibu kiasi hicho.

Huwezi kufikiria utakuwa mpinzani forever, huwezi kufirikia siku zote mpinzani wako ni CCM?

Huwezi fikiria always issue ni mafisadi...

It is real a shame, chama kinaandika dira yake kama shairi la rusha roho
!


- Hoja bwana, huwa haihitaji kelele wala matusi, inasimama yenyewe tu na strong message, ubarikiwe mkuu Kasheshe kwa hii message.

FMEs!
 
Kama hayo yaliyoandikwa yako sawa, then chama mbadala hakina vision, huwezi kufirikia kwa mtizamo wa karibu kiasi hicho.

Huwezi kufikiria utakuwa mpinzani forever, huwezi kufirikia siku zote mpinzani wako ni CCM?

Huwezi fikiria always issue ni mafisadi...

It is real a shame, chama kinaandika dira yake kama shairi la rusha roho!

Tatizo kubwa la CHADEMA na wafuasi wake ni kwamba wao kila mtu anawaambia kitu tofauti na wanchofikira basi huyo ni fisadi, ni CCM etc. Wanashindwa kuelewa kuwa mtu ambaye siyo mwanachama wala mpenzi wa CHADEMA anaweza kuwapa mawazo mazuri.
Na hili ndio swala litakalosababisha CHADEMA kutokomea baada ya uchaguzi mwa mwakani.
 
Back
Top Bottom