#COVID19 CHADEMA yaahidi kuchukua tahadhari zote dhidi ya Corona katika Kongamano la Katiba kama ilivyoainishwa na Wizara ya Afya!

#COVID19 CHADEMA yaahidi kuchukua tahadhari zote dhidi ya Corona katika Kongamano la Katiba kama ilivyoainishwa na Wizara ya Afya!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Chadema wamesema Kongamano la katiba siyo miongoni mwa mikusanyiko inayohitaji kuombewa kibali kwa mujibu wa sheria

Chadema wamesema watachukua tahadhari zote dhidi ya Corona katika kongamano la katiba hapo kesho kama ilivyoelekezwa na wizara ya afya

Nawasalimu kwa jina la JMT!
 
Pia litarushwa LIVE

Kongamano_la_Katiba_Mpya_Mkoani_Mwanza_litakuwa_LIVE_youtube_Chadema_Media_na_Facebook_Chadema...jpg
 
Chadema wamesema Kongamano la katiba siyo miongoni mwa mikusanyiko inayohitaji kuombewa kibali kwa mujibu wa sheria

Chadema wamesema watachukua tahadhari zote dhidi ya Corona katika kongamano la katiba hapo kesho kama ilivyoelekezwa na wizara ya afya

Nawasalimu kwa jina la JMT!
CCM Jana Dodoma

IMG-20210720-WA0115.jpg


IMG-20210720-WA0116.jpg
 
Back
Top Bottom