Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
HaitakuwaIsijekuwa ni Nguvu ya soda πΌ
Bendera na wanachama 3 halafu unasema matunda? Labda eneo hilo kuwe na waumini wengiKumekucha. Haya ni matunda ya Tundu Lissu.
HakikaHabari njema hii
Huko mnapoteza muda tu.
FactWanajisumbua tu, CHADEMA ili iweze ku penetrate Zanzibar inahitaji kuwapata some influence politicians wa kule, na sio Kama kina Salum Mwalimu ambaye hawezi pata hata kura ya Ndugu yake.
Nguvu ya soda ni nguvu pia!Isijekuwa ni Nguvu ya soda πΌ
Ningetia neno ila umemaliza.Kumekucha. Haya ni matunda ya Tundu Lissu.
Namtafuta Salmin Amour nimshawishi ajiunge ChademaWanajisumbua tu, CHADEMA ili iweze ku penetrate Zanzibar inahitaji kuwapata some influence politicians wa kule, na sio Kama kina Salum Mwalimu ambaye hawezi pata hata kura ya Ndugu yake.
Yes.Swali ni Je Mbunge wa Jimbo la Kizimkazi Atatokea Chadema?