Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sisi wananchi tunaishukuru sana Chadema kwa kuanzisha jambo hili , tunaahidi kuwa tayari kuchangiaDah! I can only imagine their pain
Mungu akuzidishieNitachangia Kaka yangu Ni mwanajeshi labda ipo siku pia watamfanyia hivi na yeye atasaidiwa na wengine.
Mil 300 kutoka wapi ?Chama cha bakuli Kwani zile million 300 na ushee zishaliwa
Wakachukue ruzuku zipo kwenye account au mbowe amezipiga tena?Chama cha bakuli Kwani zile million 300 na ushee zishaliwa
Amina , Mungu akuzidishieMungu ibariki CHADEMA.. Nitatoa
Ubarikiwe sanaKesho lazima niweke 20,000 kwenye hiyo account kwa ajili ya familia za hao waliobambikiwa kesi na majizi ya kura.
Mkuu kitoke mara ya ngapi?Mmepata sehem ya kupiga pesa tena maana ile mbinu ya kuchangisha ya mawakili iligomewa ,hapa muuza mayai lazima atoke likotambi
USSR
Kila mtu ni mhanga wa leo au kesho. Tutoe mchango wa hali na maliKesho nitaweka kupitia wakala ,poleni Sana Wahanga.Nitaweka hapa pay inn slip
Barikiwa sanaKesho lazima niweke 20,000 kwenye hiyo account kwa ajili ya familia za hao waliobambikiwa kesi na majizi ya kura.
Mungu akubarikiNatamani ningepewa kila upande wa familia mtoto mmoja na hata mbowe mwenyewe Kama anamtoto anayesoma mdogo nipewe ,kumbukumbu yangu