CHADEMA yachukua uongozi udom

kanta

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2011
Posts
343
Reaction score
65
Wapendwa watanzania wenzangu napenda kuchukua fursa hii kuwajulisha ya kuwa, Chuo kikuu cha Dodoma kimempata Raisi ambaye ni jembe(chadema) kukiongoza tena kwa kipindi kingine cha mwaka mmoja. tunafahamu ccm ilitumia mamilioni ya shilingi kufanikisha lakini nguvu ya umma ime play part.
 
Hivi nyie si mshakatazwa kuchanganya siasa na elimu.
 
hongera sana vijana wa Chadema.....jiandaeni tuwakabidhi nchi!!!

hakikisheni mnatumia fursa hii kuonyesha ukomavu wenu kisiasa....

regards!
 



Upuuzi mtupu,soma shule wewe maisha huyajui huku nje.Huyo kiongozi wako na usajili wa chama chako hapo chuo,unamsaada gani kwetu ama kwa Watanzania zaidi ya milioni 46?atapunguza bei ya bidhaa?.Zingatia masomo,uje uokoe Taifa vinginevyo utalamba disco na siasa zako ukingoni.
 

Mapovuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!calm down....
 
kila siku udom udom mmetuchosha punguzeni viherehere mbona vyuo vingine hawana viherehere humu!
 
Yap UDOM,majembe ya ukweli tunawaaminia.........................................................
 
Hivi nyie si mshakatazwa kuchanganya siasa na elimu.

we mrembo nani kasema? Kwanza siasa ufundishwa huko huko. Alaf kuna vitu vinaitwa training,field n.k sasa nani kakataza siasa/elimu ktk vyuo vya elimu?
 

alaf mleta mada namjua,ana first class mpaka sasa ana 4.8 GPA tena yuko semV,atamaliza na distinctiön, Alaf we unamtishia sup,we si ulikimbia shule?wacha maneno wewe!
 
kila siku udom udom mmetuchosha punguzeni viherehere mbona vyuo vingine hawana viherehere humu!

umechoka siyo tumechoka..kama vipi nenda kashushe mzigo kwenye hosp iliyo karibu
 
kila siku udom udom mmetuchosha punguzeni viherehere mbona vyuo vingine hawana viherehere humu!

ni kweli kwa sababu wengi kama wewe uchanganya kiherehere na uzalendo/ukomavu/udadisi na weledi. Hawa vijana ni wasomi wa ukweli si nyie mliokimbia umande.
 
Nilisikia mdogo wake hussein bashe naye aligombea urais wa chuo kizima na alikuwa na influence sana nini kilimsibu mpaka akadondoshwa.
 
NINYI WENYEWE MLILETA HABARI YA UCHAGUZI WA UDOM KUGUBIKWA NA UDINI.....NA MKRISTO ALISHINDA....!
JE CHADEMA NI CHAMA CHA KIDINI...?
Au mliteleza kutuhabarisha? tena mlikuwa mkishangilia...."BWANA ASIFIWEEEE"
WEKENI SAWA
 
wewe unaona kuwa huu ni upuuzi lakini unatakiwa (think outside the box) kwani siasa inazuia nini kusoma, mbona CCM ndio walikuwa wakwanza kuwa na jumuiya za kisiasa katika vyuo vikuu, kumbuka hata harakati za wa nchi zilihusisha vijana wasomi katika kuweka mambo sawa, acha kukatisha tamaa au huna kazi ya kufanya????? hapa mpaka kieleweke...
 
TENGANISHA UDINI NA SIASA......NA UKANDA....bado tu
 
hongeraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa vijanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

sooooooooooooon kitakuwa chuo.......................siyo cha kata tenaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!

nani aliyeshinda...........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…