Hivi we NDUNYA unaelewa unachokiongea? acha kutishia watu maisha, kwa kuwa ulishasema kwamba waislam wanapenda kufa kuliko kuishi sikushangai ila sidhani kama unawakilisha waislam wote kwa sababu wengine wana busara zao. kinachokufanya povu likutoke mdomoni ni nini hasa? kama unapenda kufa unangoja nini? ushafeli maisha hata kabla hujayaanza, huyo osama aliekuwa anashawishi wenzake kujitoa mhanga alimfanya mkewe ngao kuzuia risasi, he was just a coward and traitor! mwanaume wa kweli yupo radhi kumwokoa mkewe kwa ku risk maisha yake! wewe huna lolote wala chochote we ndunya tu, bendera fuata upepo na mbumbumbu uliekubuhu na wala elimu unayotafuta kamwe haitokusaidia ushafeli! unasoma nini wakati unapenda kufa? huyo shujaa wako osama mwoga wa kifo sembuse wewe ndunya ! kweli osama kawachuuza wengi kwa
ahadi ya hurulain mia moja! acha mikwara urojo, utafungwa ni kosa la jinai!!!!