Pre GE2025 CHADEMA yadai kuzuiwa kufanya Mkutano katika kumbi za Hoteli ya Sea Cliff, uliopangwa kufanyika leo, Februari 27, 2025 Dar

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Endeleeni tu kuchezea kodi za wananchi walalahoi wa nchi hii. Ipo siku mtazitapika.
hakuna wa kubabaika na ramli gentleman,
Uchaguzi utafanyika October, miradi ya maendeleo ya wanainchi itaendelea kutekekezwa kwa pesa ya wananchi na ni kwa manufaa na maslahi yao wenyewe πŸ’
 
View attachment 3251873
Hangaya apate pia maelezo ya wanafunzi wa hii shule jinsi wanavyofurahia masomo kutokana na kuwajali kwenye majengo na miundombinu.

Hangaya hoyee!!
Huko kama kuna Wazazi na hawajafanya kitu basi ni wapumbavu na waachiwe wakae chini kabisa.

Lazima Wananchi wajenge walau maboma Ili Serikali i top up maana hapo sio Watoto wa Samia wanaosoma.
 
hakuna wa kubabaika na ramli gentleman,
Uchaguzi utafanyika October, miradi ya maendeleo ya wanainchi itaendelea kutekekezwa kwa pesa ya wananchi na ni kwa manufaa na maslahi yao wenyewe πŸ’
Iyo miradi mnaoitumia kuiba pesa za walipakodi kwa 10-20 percent zenu na kujinufaisha na familia zenu sio ?
 
Huko kama kuna Wazazi na hawajafanya kitu basi ni wapumbavu na waachiwe wakae chini kabisa.

Lazima Wananchi wajenge walau maboma Ili Serikali i top up maana hapo sio Watoto wa Samia wanaosoma.
Interesting.

Leo umekuwa mkali sana. Vipi?

Nilitarajia utaweka zile picha nzuri za miradi ya serikali inayoendelea, zile takwimu za kuvutia na kisha utawapa matumaini kuwa nao watafikiwa hivi karibuni kwa kasi iliyopo πŸ˜” πŸ€”
 
CCM waoga kuliko kunguru
 
Sea Cliff inamilikiwa na familia ya Karume, ufisadi haukuanza leo
 
Mna ofisi mikocheni tena ina ukumbi mkubwa, lakini mnakesha mahotelini tu kupishana na watu wanatoka kuoga au kuzini, baade mkija mtaani mnalia hamna hela. Hizo hoteli kumbi zake wanakodi watu wa benki ya dunia, nyie chama masikini mnataka mbanane nao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…