johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mpaka Putin ang'atuke Russia na Mbowe ndio atang'atuka.Dikteta Mbowe haiwezi ng'atuka aslani.Hicho Chama ni Bwashee Brotherhood
ACT Wazalendo ni mali ya Maalim Seif FoundationKumbe Zitto kutogombea uayattollah ni mtego kawekewa Mbowe?
Hakika Maalim Seif alikuwa ni taasisi.ACT Wazalendo ni mali ya Maalim Seif Foundation
Zitto Kabwe anarudi Kuungana na Patrobas kwenye majukumu yao
Huyu "Chacha Heche" ni yule Heche x-mbunge au ni family member wake??Ni furaha kila kona yenye watu Wenye Mapenzi Mema na Chadema baada ya kupatikana Wenyeviti wapya wa Mikoa wakiwemo Chacha Heche ( Mara) na Gratian Matovu ( Kagera)
Kituo kitakachofuata ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa
Nawatakieni Juma Takatifu Lenye Baraka [emoji1]
Chedema banaNi furaha kila kona yenye watu Wenye Mapenzi Mema na Chadema baada ya kupatikana Wenyeviti wapya wa Mikoa wakiwemo Chacha Heche ( Mara) na Gratian Matovu ( Kagera)
Kituo kitakachofuata ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa
Nawatakieni Juma Takatifu Lenye Baraka π
X mbunge ni John HecheHuyu "Chacha Heche" ni yule Heche x-mbunge au ni family member wake??
Ahahahahaha! Inawezekana wana udugu wa damu! Usimsahau na mjomba wao Kiduku wa Korea Kaskazini! Ahahahahaha!!!Mpaka Putin ang'atuke Russia na Mbowe ndio atang'atuka.
UunjUhihihikkukNi furaha kila kona yenye watu Wenye Mapenzi Mema na Chadema baada ya kupatikana Wenyeviti wapya wa Mikoa wakiwemo Chacha Heche (Mara) na Gratian Matovu (Kagera)
Kituo kitakachofuata ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa.
Nawatakieni Juma Takatifu Lenye Baraka [emoji1]