Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Chadema Kanda ya Nyasa ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoa wa Njombe, Rose Mayemba, Inaingia Jimbo la Ileje kwa kimbunga cha Mikutano ya hadhara mfululizo yenye lengo la kukata mnyororo wa Utumwa
Ikumbukwe kwamba Ileje ni miongoni mwa Maeneo ya kimkakati ya ccm yaliyopangwa kudidimizwa makusudi kwa kunyimwa miundo mbinu kwa lengo la kupofusha fikra za wananchi ili waamini kwamba ccm ni dini, na kwamba wakiikataa watahukumiwa na Mungu siku ya kiama.
Sasa Chadema imeona mtego huo wa kijinga na imeamua kuuvunjilia mbali kwa kuingia mazima Ileje kwa lengo la kufungua fikra za Wananchi na kuwaambia wazi kwamba, CCM si chama cha Mungu, Ni chama cha kisiasa kilichoanzishwa na Nyerere na ambacho ndio nguzo ya Dhiki, shida, Umasikini pamoja na kila ugumu wa Maisha unaowakabili Watanzania.
Ikumbukwe kwamba Ileje ni miongoni mwa Maeneo ya kimkakati ya ccm yaliyopangwa kudidimizwa makusudi kwa kunyimwa miundo mbinu kwa lengo la kupofusha fikra za wananchi ili waamini kwamba ccm ni dini, na kwamba wakiikataa watahukumiwa na Mungu siku ya kiama.
Sasa Chadema imeona mtego huo wa kijinga na imeamua kuuvunjilia mbali kwa kuingia mazima Ileje kwa lengo la kufungua fikra za Wananchi na kuwaambia wazi kwamba, CCM si chama cha Mungu, Ni chama cha kisiasa kilichoanzishwa na Nyerere na ambacho ndio nguzo ya Dhiki, shida, Umasikini pamoja na kila ugumu wa Maisha unaowakabili Watanzania.