Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimesema hakijajitoa na wala hakina mpango wa kujitoa kwa Sasa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2024.
Kimewahimiza wanachama wake walioteuliwa nchi nzima kuanzis tarehe 26 Oktoba, 2024 wajitokeze mapema kwenda kuchukua fomu za Serikali za kugombea nafasi mbalimbali walizoteuliwa na Chama.
Pia soma: POTOSHI - Rasmi CHADEMA kususia uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024
Kimewahimiza wanachama wake walioteuliwa nchi nzima kuanzis tarehe 26 Oktoba, 2024 wajitokeze mapema kwenda kuchukua fomu za Serikali za kugombea nafasi mbalimbali walizoteuliwa na Chama.
Pia soma: POTOSHI - Rasmi CHADEMA kususia uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024