Chadema yalipua mawaziri wawili



Neno sahihi ni ASHAKUM sio Kumradhi.

Ashakum maneno si matusi.
Sio hao choko wote huenda kwa mabasha kwa shida, wengine hiyo ni raha kwao na wao wakalipia hiyo huduma. Ninachohofia ni kiasi gani tutaweza kustahamili Kiza, tusije kwenda kwa Mabasha shingo upande tukakosa ile raha ambayo tungeipata kama tungekwenda kwa hiari yetu.
Hii kuwafuata mabasha kwa shida ndiko kuliko tufanya tubikiriwe kavukavu na Richmond. Sifikiri kuwa tutakuwa radhi kukaa giza eti kwa ari, hilo hatuna.
Hapo tutakapokaa giza na Bunge likawa haliendi na kuwakosesha 135,000 kwa siku ni haohao watakaotumia dharura na kupoteza mabilioni ya pesa za walipa kodi. Vigogo ndio wenye makampuni na vitega uchumi, unafikiri watakubali wapate hasara? Sisi ni wapiga kelele na tunaotumiwa kwa manufaa ya vigogo sasa sijui kama uko tayari mwanao atumie mshumaa huku kwa Sitta akinunuliwa Generator kwa fedha za walipa kodi?
Naona hii ngoma ina wenyewe na hao panga pangua hawatoathirika kama mimi na wewe kutakapokuja giza.,
 

Kwa sera hizo ni wazi CHADEMA sio mahala pako lakini naamini CUF ndipo patakuwa muafaka kwako maana wao ndio wana SERA/KAULI MBIU ya NGANGARI.

Huo ndio utamu wa siasa za ushindani wa vyama vingi.

omarilyas
 
Nilimsikia L.K Masha juzi TBC akisema kuwa kauli ya kusema yeye awajibike ni ya kisiasa kwani mapigano hayo ya koo yamekuwapo huko hata kabla yeye hajazaliwa,and I asked myself how dare he still in that office??
 
Nilimsikia L.K Masha juzi TBC akisema kuwa kauli ya kusema yeye awajibike ni ya kisiasa kwani mapigano hayo ya koo yamekuwapo huko hata kabla yeye hajazaliwa,and I asked myself how dare he still in that office??


kuna Msemo wa michuzi wa bongo tambarare, kweli bongo ni tambarare.
hiyo kauli na utendaji ni made in tanzania only. kazi kweli
 
Chama gani hawasafishi chama? Hata Democratic US walisafisha chama kabla ya kufika walipo! Unashangaa nini? au na wewe ni kati ya wale wale 15?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…