Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 239
Nimesikia katika kituo cha Channel 10 taarifa yao ya saa moja usiku huu kwamba katika mkutano wake wa hadhara katika viwanha vya Jangwani leo hii, Mwenyekiti wa Chadema amesema kwamba Chadema inamuunga mkono Maalim Seif katika kinyang'anyiro cha kuwania urais Zanzibar.
Binafsi naona ni hatua nzuri kwani inaonyesha mshikamano kwa upande wa upinzani kuung'oa utawala wa kidhalimu wa CCM.
Najua MS ataingia sasa hivi na kuponda hatua hii njema ya Chadema -- kwamba wanafanya hivyo kwa sababu hawana mtu kule Zanzibar wa kumsimamisha kuwania urais.
Binafsi naona ni hatua nzuri kwani inaonyesha mshikamano kwa upande wa upinzani kuung'oa utawala wa kidhalimu wa CCM.
Najua MS ataingia sasa hivi na kuponda hatua hii njema ya Chadema -- kwamba wanafanya hivyo kwa sababu hawana mtu kule Zanzibar wa kumsimamisha kuwania urais.