Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa yao hii hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila maandamano 🐒
Ratiba mpya ya Maandamano itatolewa baada ya mazishi ya Mwinyi , usiondoke JFBila maandamano 🐒
R.I.P Ndugu Ali Hassan Mwinyi
Mazishi ya Waislamu hayana mambo mengi kama nyie Wagalatia 😂Aende akateme pumba kama alizotema kwenye msiba wa Lowassa.
sasa msilete fujo kule mazishi mkipewa nafasi sawa🐒Ratiba mpya ya Maandamano itatolewa baada ya mazishi ya Mwinyi , usiondoke JF
Wifuu wa nyegere mjana.....Aende akateme pumba kama alizotema kwenye msiba wa Lowassa.
Tutatoa hotuba iliyotukuka , iliyojaa ukweli wa Maisha yake , ikiwemo kuhusika kwake kuuza Loliondo , kama alivyokiri mwenyewesasa msilete fujo kule mazishi mkipewa nafasi sawa🐒
Aiseeeeee !!!Huyu Mzee namkumbuka alivyowashughulikia wale wahuni waliokuwa wanavunja mabucha yetu ya vitimoto.
Afu Mzee wa Lupaso akamalizia na kile kipigo cha mbwa mwizi pale mwembechai.
Aende akateme pumba kama alizotema kwenye msiba wa Lowassa.
Kamanda mboga mboga huyu ,hamuoni aibu aisee?Kamanda wa anga akamwage madini mpaka Mama Kizimkazi aimbe taarabu!
Kwa hiyo akifika pale, msiba ni unguja atasema pia kuwa huwez kuongea kuongea history ya Mwinyi bila kutaka chadema. Du!!