Uchaguzi 2020 CHADEMA yapeleka mgombea machachari Newala kumng'oa Mkuchika

Uchaguzi 2020 CHADEMA yapeleka mgombea machachari Newala kumng'oa Mkuchika

Molemo

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
14,620
Reaction score
13,358
Kumekucha Newala Mjini.

Mbunge wa miaka mingi Newala Mzee John Mkuchika Yuko hatarini kupoteza ubunge wake baada ya Chadema kumpeleka mgombea machachari anayedaiwa kufahamika na kupendwa na wananchi wengi wa Jimbo Hilo.

Mgombea huyo wa Chadema Issa Juma Chillindima amechukua rasmi fomu leo za Uteuzi kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo.

Akiambatana na Mwanasheria wake John Mallya mgombea huyo wa Chadema akisindikizwa na wafuasi kadhaa na wananchi amechukua fomu na Kisha kuwaambia wananchi Newala Sasa ijiandae kwa maendeleo makubwa.

Wananchi wa Jimbo Hilo wamechoshwa na ubunge wa muda mrefu wa Mzee Mkuchika na wanachama wa CCM hawakutarajia Mzee huyo kurudishwa Tena kugombea.Mara baada ya CCM kumteua Tena Mzee Mkuchika wanachama wengi wa CCM walionyesha kukata tamaa na kuahidi kumuunga mkono mgombea wa Chadema.
IMG-20200822-WA0056.jpg
 

Attachments

  • IMG-20200822-WA0054.jpg
    IMG-20200822-WA0054.jpg
    57.5 KB · Views: 1
  • IMG-20200822-WA0052.jpg
    IMG-20200822-WA0052.jpg
    37 KB · Views: 1
Akina polepole hakuiona hiyo shikamoo
 
Yaliyotokea 2015 yasije yakajirudia tena kwenye jimbo hilo ilikuwa ni aibu sana.
 
Labda aamue mwenyewe tu. Na jiwe hatakubali hiyo kitu,maana ndio wazee pekee anawategemea hasa huko kusini.
 
Nguvu kubwa inahitajika kumtoa mzee mkuchika kila la kheri Chili family
 
Back
Top Bottom