Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Karibu sanaChadema a.k.a dying horse kwenye moja mbili
Tumeziona hata magari wameyawekea nembo hiyo isiyo na vidole iliyokuwa inawakilisha 'Illuminate' lakini wamekuja na mtindo mwingine fiche unaowakilisha namba '666 (6*3=18)'=9! au '999' (9*3=27)=9!. Kuna siri gani ya CDM na namba tisa? Erythrocyte ?Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa na ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho, Joseph Mbilinyi, Ametambulisha sare mpya za Chama hicho Nchini Marekani.
Taarifa zinadokeza kwamba Mzigo huo mpya wa Chadema wenye nembo ya STRONGER TOGETHER umetengenezwa Nchi humo kwa quality za Kinyamwezi, Unaambiwa hata ukifulia sabuni duni za Kibongo hazipauki
Zaidi angalia hapa
View attachment 3270335View attachment 3270336
Mungu Ibariki Chadema
Haijafa tangu 2020?Chadema a.k.a dying horse kwenye moja mbili
Alisemwa sana Mbowe kuwa chama amekigeuza mradi..kumbe wahujumu wa chama wamebaki ndani!Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa na ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho, Joseph Mbilinyi, Ametambulisha sare mpya za Chama hicho Nchini Marekani.
Taarifa zinadokeza kwamba Mzigo huo mpya wa Chadema wenye nembo ya STRONGER TOGETHER umetengenezwa Nchi humo kwa quality za Kinyamwezi, Unaambiwa hata ukifulia sabuni duni za Kibongo hazipauki
Zaidi angalia hapa
View attachment 3270335View attachment 3270336
Mungu Ibariki Chadema
Freeman Aikaeli Mbowe ndie alikua mpiga picha hapo na ndio mwenye pendekezo la nembo za slogan ya t shirts hizo 🐒Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa na ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho, Joseph Mbilinyi, Ametambulisha sare mpya za Chama hicho Nchini Marekani.
Taarifa zinadokeza kwamba Mzigo huo mpya wa Chadema wenye nembo ya STRONGER TOGETHER umetengenezwa Nchi humo kwa quality za Kinyamwezi, Unaambiwa hata ukifulia sabuni duni za Kibongo hazipauki
Zaidi angalia hapa
View attachment 3270335View attachment 3270336
Mungu Ibariki Chadema
Mkuu huo uzi mpya ni noma, unaambiwa unaweza kuingia nao hata clubAlisemwa sana Mbowe kuwa chama amekigeuza mradi..kumbe wahujumu wa chama wamebaki ndani!
Juma lokole anasemajeChadema a.k.a dying horse kwenye moja mbili
Ccm wataiga ttz hawana watu wabunifuMkuu huo uzi mpya ni noma, unaambiwa unaweza kuingia nao hata club
Sasa uzi wa kuingilia klabu si ndio umedharaulika nilijua kanisani au msikitini na ukishauzwa tunataka hesabu mezani kama tone tone!Mkuu huo uzi mpya ni noma, unaambiwa unaweza kuingia nao hata club
Tunagawa bureSasa uzi wa kuingilia klabu si ndio umedharaulika nilijua kanisani au msikitini na ukishauzwa tunataka hesabu mezani kama tone tone!
Unateseka ukiwa Chamwino kijiji gani?Hizi ni sare au jezi,sare ni zile combat
Niteseke vipi niko ikulu vipi tonetone mmepata elfu ngapi leoUnateseka ukiwa Chamwino kijiji gani?
Usiondoke JFNiteseke vipi niko ikulu vipi tonetone mmepata elfu ngapi leo
Biashara kama Biashara nyingine jezi ya bongo inatambulishswa MarekaniMwenyekiti wa Kanda ya Nyasa na ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho, Joseph Mbilinyi, Ametambulisha sare mpya za Chama hicho Nchini Marekani.
Taarifa zinadokeza kwamba Mzigo huo mpya wa Chadema wenye nembo ya STRONGER TOGETHER umetengenezwa Nchi humo kwa quality za Kinyamwezi, Unaambiwa hata ukifulia sabuni duni za Kibongo hazipauki
Zaidi angalia hapa
View attachment 3270335View attachment 3270336
Mungu Ibariki Chadema