CHADEMA yathibitisha kutoshiriki uchaguzi mdogo Ngorongoro, hadi Tume Huru ya Uchaguzi itakapopatikana

Hii inaonyesha kuwa bado waafrika tunachechemea kuelekea ustaarabu.
Bado tunaendelea kuwa jamii shenzi(primitive) na ambayo imeshindwa kujisimamia baada ya uhuru.
Roma haikujengwa kwa siku moja.
Maendeleo yapo lakini bado ni kidogo sana, tuendelee kustruggle hata kuufikia ustaarabu hapo baadae.
 
Mnaogopa uchaguzi kwani dhalimu wenu bado yupo?

Si mnapumua nyie?
Hatuagopi uchaguzi maana uhakika wa kupata kura toka kwa wananchi tunao. Ila ukhanithi aliouanzisha mwendakuzimu bado upo. Hivyo hatuna muda mchafu wa kupoteza kwa chama kilichochoka kushindana.
 
Hatuagopi uchaguzi maana uhakika wa kupata kura toka kwa wananchi tunao. Ila ukhanithi aliouanzisha mwendakuzimu bado upo. Hivyo hatuna muda mchafu wa kupoteza kwa chama kilichochoka kushindana.
Kwani mwenda kuzimu si amekufa?

Sasa kwanini msiende mkashiriki ili mpate mbunge?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cha ajabu 2025 mtapeleka pua zenu na watu toka ubelgiji watakuja mbio mbio kushiriki uchaguzi.
 
Hiyo sawa. Bora kuwaachie. Ksbb hata CHADEMA ikishinda inapokwa ushindi.
 
naunga mkono hoja, tunawashauri ccm wawe wanajichaugua wenyewe wanaiandikia tume kupitisha. nchi imerudi nyuma kidemokraisia miaka 70, yaani afadhali na mkoloni aliwaruhusu kina Mwalimu wafanye mikutano yao Anatogro bila kuwavunja ngoko.
 
Kwani mwenda kuzimu si amekufa?

Sasa kwanini msiende mkashiriki ili mpate mbunge?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cha ajabu 2025 mtapeleka pua zenu na watu toka ubelgiji watakuja mbio mbio kushiriki uchaguzi.
kwani na nyie mnashindwa vipi kuchaguana ili mpeleke jina tume na tume iandike kwa Bunge ili Mr. Zuzu amwapishe ?
 
kwani na nyie mnashindwa vipi kuchaguana ili mpeleke jina tume na tume iandike kwa Bunge ili Mr. Zuzu amwapishe ?
Ndio njia za kupata mbunge hizo
 
Mungu ibariki Chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…