Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Chadema imeingia Nkasi na kufanya Maandamano Makubwa na Mkutano mkubwa wa Hadhara.
Mkitano huo umehudhuriwa na Umati mkubwa wa Wananchi bila kujali kutekwa na kuuawa!
Makamu Mwenyekiti wa Kanda hiyo Frank Mwakajoka ameongoza Jambo hilo
Mkitano huo umehudhuriwa na Umati mkubwa wa Wananchi bila kujali kutekwa na kuuawa!
Makamu Mwenyekiti wa Kanda hiyo Frank Mwakajoka ameongoza Jambo hilo