Chadema yatikisa Nkasi Kaskazini, Umati Mkubwa wajitokeza

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Chadema imeingia Nkasi na kufanya Maandamano Makubwa na Mkutano mkubwa wa Hadhara.

Mkitano huo umehudhuriwa na Umati mkubwa wa Wananchi bila kujali kutekwa na kuuawa!

Makamu Mwenyekiti wa Kanda hiyo Frank Mwakajoka ameongoza Jambo hilo

 
Natamani polisi wakiache CHADEMA kiinyooshe ccm wanajisahau mno wanaoona kama hii ni nchi yao pekee yao. Halafu polisi walitakiwa kujua Chadema wanahangaikia maisha tulivu ya wadogo, watoto na wajukuu zao kwa maisha ya baadaye wasijekuta mito, bahari, ardhi imebaki mashimo matupu. Polisi hasa wasio na vyeo wasitumike kwa faida ya wakubwa. Hata kama ni amri wawe na hekima.
 
Bila Polisi ccm ni wepesi kuliko Pamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…