CHADEMA yatoa mapendekezo makubwa matatu kwa Serikali ya Tanzania ili kukabili uamuzi wa Trump wa kusitisha misaada

CHADEMA yatoa mapendekezo makubwa matatu kwa Serikali ya Tanzania ili kukabili uamuzi wa Trump wa kusitisha misaada

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
CHADEMA imetoa mapendekezo matatu kwa serikali kufuatia uamuzi wa Rais wa Marekani,Donald Trump kusitisha misaada kwa sekta ya afya.

Mwenyekiti wa Kamati ya Afya na Maendeleo ya Jamii ya Bunge la Wananchi CHADEMA, Ashura Masoud, lazima hatua zifuatazo zichukuliwe kukabili mabadiliko hayo.

1. Chama hicho kimependekeza serikali kuandaa mkakati wa dharura wa kisera na kibajeti wa kuhakikisha inakuwa na fedha za kutosha kwenye Mfuko wa Kudhibiti UKIMWI na Mfuko wa Udhamini wa UKIMWI kwa kubana matumizi na kutenga vyanzo maalum na vya lazima katika bajeti ya taifa,ili kupunguza makali ya uhaba wa fedha za ARVs na UKIMWI.

2. Bunge linaloendelea sasa kujadili ajenda ya dharura,serikali iwasilishe taarifa ya tathimini na mkakati wa kina wa namna ya kukabiliana na upungufu wa fedha katika sekta ya afya na nyingine za maendeleo,kisha litokea na azimio.

3. Rais Samia Suluhu Hassan na wakuu wenzake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Umoja wa Afrika (AU) wafanye mkutano kwa ajili ya kutafuta ufumbuzi mpana na wa kina zaidi kupata vyanzo mbadala vya fedha na kuziba pengo la kibajeti linalosababishwa na Marekani kusitisha misaada ya maendeleo.

Aidha,amesema: " Tathimini iliyofanywa na Kamati ya Afya ya Bunge la Wananchi imebaini kusitishwa kwa misaada hii kutaathiri huduma ya ARVs pamoja na mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI KWA asilimia 50."

Snapinst.app_472579219_1254225182313342_4007150649049278953_n_1080.jpg


Snapinst.app_472003822_549151244250944_3467954594434272639_n_1080.jpg

Source: Nipashe
 

Attachments

  • Snapinst.app_472003822_549151244250944_3467954594434272639_n_1080.jpg
    Snapinst.app_472003822_549151244250944_3467954594434272639_n_1080.jpg
    132 KB · Views: 5
CHADEMA imetoa mapendekezo matatu kwa serikali kufuatia uamuzi wa Rais wa Marekani,Donald Trump kusitisha misaada kwa sekta ya afya.

Mwenyekiti wa Kamati ya Afya na Maendeleo ya Jamii ya Bunge la Wananchi CHADEMA, Ashura Masoud, lazima hatua zifuatazo zichukuliwe kukabili mabadiliko hayo.

1. Chama hicho kimependekeza serikali kuandaa mkakati wa dharura wa kisera na kibajeti wa kuhakikisha inakuwa na fedha za kutosha kwenye Mfuko wa Kudhibiti UKIMWI na Mfuko wa Udhamini wa UKIMWI kwa kubana matumizi na kutenga vyanzo maalum na vya lazima katika bajeti ya taifa,ili kupunguza makali ya uhaba wa fedha za ARVs na UKIMWI.

2. Bunge linaloendelea sasa kujadili ajenda ya dharura,serikali iwasilishe taarifa ya tathimini na mkakati wa kina wa namna ya kukabiliana na upungufu wa fedha katika sekta ya afya na nyingine za maendeleo,kisha litokea na azimio.

3. Rais Samia Suluhu Hassan na wakuu wenzake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Umoja wa Afrika (AU) wafanye mkutano kwa ajili ya kutafuta ufumbuzi mpana na wa kina zaidi kupata vyanzo mbadala vya fedha na kuziba pengo la kibajeti linalosababishwa na Marekani kusitisha misaada ya maendeleo.

Aidha,amesema: " Tathimini iliyofanywa na Kamati ya Afya ya Bunge la Wananchi imebaini kusitishwa kwa misaada hii kutaathiri huduma ya ARVs pamoja na mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI KWA asilimia 50."


Source: Nipashe
Sijaona na Cha maana harafu Serikali haishindwi Kwa Bajeti hii hii iliyopo .

Akili za Chadema zinaweza kwamba eti Tanzania inaishi Kwa misaada wakati ukiangalia kwenye Bajeti kinachoitwa misaada haifiki hata 4%

Mfano Mpango wa Bajeti ujao ,misaada ni Trilioni 1 tuu out of 55T proposed Budget.

Nchi Ina hela ,Trump asiwababaishe

Mwisho Serikali ya USA/Trump imeondoa Msaada wa kifedha ila Msaada wa madawa uko pale pale.

View: https://www.instagram.com/p/DFkcaznoClA/?igsh=MWRlZDJldmg1dzJjNg==
 
Hivi haiwezekani hili bunge wakakutana kujadili masuala ya nchi, kisha mkutano urushwe live
Wenye uwezo wa kujadiri mambo makubwa ya nchi mule kijiweni, hawazidi 10. Sasa warudie rudie kuongea watu hao hao si inaboa kaka!? Walau bunge la online lile la kina Maria Sarungi kuna vitu vya maana watu wana discuss na hawalipwi
 
CHADEMA imetoa mapendekezo matatu kwa serikali kufuatia uamuzi wa Rais wa Marekani,Donald Trump kusitisha misaada kwa sekta ya afya.

Mwenyekiti wa Kamati ya Afya na Maendeleo ya Jamii ya Bunge la Wananchi CHADEMA, Ashura Masoud, lazima hatua zifuatazo zichukuliwe kukabili mabadiliko hayo.

1. Chama hicho kimependekeza serikali kuandaa mkakati wa dharura wa kisera na kibajeti wa kuhakikisha inakuwa na fedha za kutosha kwenye Mfuko wa Kudhibiti UKIMWI na Mfuko wa Udhamini wa UKIMWI kwa kubana matumizi na kutenga vyanzo maalum na vya lazima katika bajeti ya taifa,ili kupunguza makali ya uhaba wa fedha za ARVs na UKIMWI.

2. Bunge linaloendelea sasa kujadili ajenda ya dharura,serikali iwasilishe taarifa ya tathimini na mkakati wa kina wa namna ya kukabiliana na upungufu wa fedha katika sekta ya afya na nyingine za maendeleo,kisha litokea na azimio.

3. Rais Samia Suluhu Hassan na wakuu wenzake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Umoja wa Afrika (AU) wafanye mkutano kwa ajili ya kutafuta ufumbuzi mpana na wa kina zaidi kupata vyanzo mbadala vya fedha na kuziba pengo la kibajeti linalosababishwa na Marekani kusitisha misaada ya maendeleo.

Aidha,amesema: " Tathimini iliyofanywa na Kamati ya Afya ya Bunge la Wananchi imebaini kusitishwa kwa misaada hii kutaathiri huduma ya ARVs pamoja na mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI KWA asilimia 50."


Source: Nipashe
Aliyetoa hii statement Ashura Masoud kasoma Madrasa na kama kawaida yao kuchemka kitu rahisi sana

Angalia hiyo taarifa inaonyesha imetoka makao makuu ya Chadema yaliyoko.mtaa wa Ufipa Kinondoni wakati makao makuu ya Chadema yako.Mikocheni hayako.mtaa wa Ufipa

Hongereni walimu wa madtasa kuzalisha vilaza

Chadema mnatisha mna mwenyekiti kitaifa mambo ya jamii asiyejua hata makao makuu ya chama chake yako.wapi
 
Back
Top Bottom