Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kumekucha mno!Duuu mikoa ya pwani inaanza kuamka.
noma sana!Mwamba Kama mwamba
Tanga wameamkaKwa mara ya Kwanza ninashuhudia Wakazi wa Tanga wakidhamiria kabisa sasa kuiondoa ccm madarakani, sijawahi kuona hamasa kama hii tangu niijue Tanga.
Taarifa Zinaeleza kwamba kumbe hata hii Mikutano ambayo inahutubiwa na Mbowe wanairatibu Wanatanga wenyewe na wanaandaa kila kitu!
Huu ni Mkutano wa Mwakijembe, Mwamba akipiga Spana bila huruma yoyote.
Tutathibitisha hili kwenye uchaguzi kama kweli tanga imefungukaKwa mara ya Kwanza ninashuhudia Wakazi wa Tanga wakidhamiria kabisa sasa kuiondoa ccm madarakani, sijawahi kuona hamasa kama hii tangu niijue Tanga.
Taarifa Zinaeleza kwamba kumbe hata hii Mikutano ambayo inahutubiwa na Mbowe wanairatibu Wanatanga wenyewe na wanaandaa kila kitu!
Huu ni Mkutano wa Mwakijembe, Mwamba akipiga Spana bila huruma yoyote.
Hao watu tangu wazaliwe hawajaona ndege ikiruka leo ipo kijijini kwao tena karibu tu na macho yao lazima watoke kwa wingi ila kura kwa kitandula na Samia wa CCMKwa mara ya Kwanza ninashuhudia Wakazi wa Tanga wakidhamiria kabisa sasa kuiondoa ccm madarakani, sijawahi kuona hamasa kama hii tangu niijue Tanga.
Taarifa Zinaeleza kwamba kumbe hata hii Mikutano ambayo inahutubiwa na Mbowe wanairatibu Wanatanga wenyewe na wanaandaa kila kitu!
Huu ni Mkutano wa Mwakijembe, Mwamba akipiga Spana bila huruma yoyote.
KabisaCCM Istaafu tu
Tofautisha kati ya Tanga jiji,ambao ni wilaya ya Tanga.Tanga Jiji,CCM,ina nguvu sana.Mkoa wa Tanga una wilaya zake,miongoni mwa hizo wolaya ni Tanga(jiji).Halafu ndio kuna mloa wa Tanga.Kwa mara ya Kwanza ninashuhudia Wakazi wa Tanga wakidhamiria kabisa sasa kuiondoa ccm madarakani, sijawahi kuona hamasa kama hii tangu niijue Tanga.
Taarifa Zinaeleza kwamba kumbe hata hii Mikutano ambayo inahutubiwa na Mbowe wanairatibu Wanatanga wenyewe na wanaandaa kila kitu!
Huu ni Mkutano wa Mwakijembe, Mwamba akipiga Spana bila huruma yoyote.
Mwendo awamu hii ni kunyoa vichwa tuuuKumekucha mno!