Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nini cha ziada hapo?CCM licha ya kufanya mikutano ya siasa hili la cdm linawauma kweli kweli
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Karibu Chadema Kamanda Idugunde
Kungekuwa hakuna Cha maana usinge changia huu uzi mkuuKuna nini cha ziada hapo?
Wamekupiga nini?Hivi kuna sehemu hapa Afrika Mashariki kwenye majizi zaidi ya CCM Tanzania?Wapigaji
Mdogo mdogo tu mtakuja kivulini huko Lumumba chama kimetekwa....
Pia CCM hawakuwa nazo zaidi ya kupola majengo ,viwanja na maeneo yote ya wazi.Saccos isiyo na ofisi kwa miaka 30 sasa
Naona bila kukitaja hiki chama hampati raha kabisa
Amebakia kulalama tu humu mitaa ya JF na kumlaumu SSH.Akimaliza malalamiko ndiyo hivyo anavizia kuona CHADEMA wanafanya nini na kuwapiga vi-picha.😝😝😝😝😝Mdogo mdogo tu mtakuja kivulini huko Lumumba chama kimetekwa....
Kwa hiyo na chadema wanasubiri wapole majengo ndiyo wawe na ofisi?Pia CCM hawakuwa nazo zaidi ya kupola majengo ,viwanja na maeneo yote ya wazi.
Kwa hiyo na chadema wanasubiri wapole majengo ndiyo wawe na ofisi?
Katiba mpya ndiyo itawapa Chadema ofisi?..tuandike Katiba mpya na bora inayoweka makatazo kwa vyama au yeyote kufanya uporaji unaouzungumzia.