Chagga's day

Wapo wengi ila sasa ukiwataja inafaida gani hadi hapa tunapoishi wanamapaka jini, vifungo vya wenzao , mara mapembe, miguu ya ng'ombe , wanazalia vizazi vya wenzao , wanaleta mijusi yakuvutia wateja na maisha ya watu
Na wana fitna na roho mbaya kuzidi makabila yote nchini
 
Ukiwa honest kabisa, bila kujali itikadi za ukabila, na mimi nikiwa natokea kabila tofauti kabisa, naomba nikiri kuwa kuna kitu cha tofauti ambacho wachaga wanacho ukilinganisha na makabila mengine hasa katika utafutaji wa mali.
Hata wakinga wanacho kwenye Hilo eneo
 
Ukiwa honest kabisa, bila kujali itikadi za ukabila, na mimi nikiwa natokea kabila tofauti kabisa, naomba nikiri kuwa kuna kitu cha tofauti ambacho wachaga wanacho ukilinganisha na makabila mengine hasa katika utafutaji wa mali.
Word...
 
Acha uchochoze. Tukikumata lazima ukapimwe mkojo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…