INAUZWA Chagua chochote, uliza bei

INAUZWA Chagua chochote, uliza bei

Wabongo bado tuna tatizo la copywriting skills..unaweka bidhaa alafu huweki bei,mtu akiuliza bei ya bidhaa jibu njoo inbox

Ndugu..unapouza bidhaa mtandaoni,kummbuka mteja hanunui picha wala bidhaa yako Bali ananunua ofa (thamani) iliyo nyuma ya hiko unachokiuza

Turudi kwenye mada..hiyo headphone unauza bei gani mkuu

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Wabongo bado tuna tatizo la copywriting skills..unaweka bidhaa alafu huweki bei,mtu akiuliza bei ya bidhaa jibu njoo inbox

Ndugu..unapouza bidhaa mtandaoni,kummbuka mteja hanunui picha wala bidhaa yako Bali ananunua ofa (thamani) iliyo nyuma ya hiko unachokiuza

Turudi kwenye mada..hiyo headphone unauza bei gani mkuu

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Huu ndio upuuzi nisioutaka.
Niende pm kufanya nini?.
Kulikoni kuingia kichochoroni bora ninyooshe dukani.

Mtu anauza badala ya kuwavutia watu kwa kuandika bei..anataka afuatwe pm!!!

Ndio maana biashara nyingi zinafia njiani kwa upuuzi huu.
 
Huu ndio upuuzi nisioutaka.
Niende pm kufanya nini?.
Kulikoni kuingia kichochoroni bora ninyooshe dukani.

Mtu anauza badala ya kuwavutia watu kwa kuandika bei..anataka afuatwe pm!!!

Ndio maana biashara nyingi zinafia njiani kwa upuuzi huu.
Tatizo watanzania ni wagumu wa kujifunza vitu vipya na hapa ndy wakenya wanatuoiga bao kwenye secta za biashara mtandao..

Mtu anaweka bidhaa bila bei,mteja unauliza bei ya hiyo bidhaa anakujibu njoo pm..kumbe angetaja bei yake pale angewapata hata ambao walikuwa wapitaji tu
 
IMG-20220520-WA0080.jpg
 
Tatizo watanzania ni wagumu wa kujifunza vitu vipya na hapa ndy wakenya wanatuoiga bao kwenye secta za biashara mtandao..

Mtu anaweka bidhaa bila bei,mteja unauliza bei ya hiyo bidhaa anakujibu njoo pm..kumbe angetaja bei yake pale angewapata hata ambao walikuwa wapitaji tu
Sure
 
Watu wagumu kuelewa...kawaambia ulizia bidhaa unayotaka akutajie bei...sasa wengine tayar wameshaanza kuleta stress zao humu...mkuu endelea kupandisha picha
 
Wabongo bado tuna tatizo la copywriting skills..unaweka bidhaa alafu huweki bei,mtu akiuliza bei ya bidhaa jibu njoo inbox

Ndugu..unapouza bidhaa mtandaoni,kummbuka mteja hanunui picha wala bidhaa yako Bali ananunua ofa (thamani) iliyo nyuma ya hiko unachokiuza

Turudi kwenye mada..hiyo headphone unauza bei gani mkuu

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Wengi wanachoofia ule ushindani, anaona akiweka bei basi mwingine ataona uenda yupo karibu yake anaweza kushusha..... sasa unaweka Tangazo alafu bei inbox kwanini na Bidhaa asiseme UKITAKA KU9NA BIDHAA ZANGU NJOO INBOX
 
Back
Top Bottom