Salama salimini
Senior Member
- Dec 2, 2013
- 191
- 38
Wakuu; Nyie mnasemaje juu ya hili la katiba?
A) Tupige NDIYO kama wanavyodai CCM
B) Tupige HAPANA kama wanavyodai maaskofu wetu.
C) Tusipige kabisa kama wanavyodai UKAWA.
Yaani jibu vile unavyoona sahihi.
Ikiwezekana tushawishi nasi.
A) Tupige NDIYO kama wanavyodai CCM
B) Tupige HAPANA kama wanavyodai maaskofu wetu.
C) Tusipige kabisa kama wanavyodai UKAWA.
Yaani jibu vile unavyoona sahihi.
Ikiwezekana tushawishi nasi.