Frankdaniel711
JF-Expert Member
- Oct 8, 2018
- 366
- 140
Hapana sina kakaUna Sony brand
Natuma kwa basi au napeleka kwa ndugu au jamaa ambaye yupo uku dar es salaam kisha atakutumiaVip wamikoani wanapataje
Yote maisha tu wasilianeSipika 3 nikupe 18 mkuu chap
Laki 195,000Hiyo ya spika tano inataka bei gani?
Laki 450,000Nahitaji zile spika mbili Ndogo Pacha Moja Ina mixer hapo hapo Ila nyingine Ni spika plane, sijajua zinaitwaje Ila nafkiri utakua unazifaham, Wenye library za kuburn CD huwa wanapenda kuzitumia.. kama unazo unauza Bei gani?