MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Hakuna sababu ya kuendelea kulia lia na ugumu wa maisha. Tuchague Tundu Lissu kwa kishindo upande wa Bara na Maalim Seif upande wa Visiwani. Tunayo hatima ya Tanzania mpya inayojali haki, uhuru na maendeleo ya watu badala ya Tanzania ya maumivu zaidi isiyojali haki wala maendeleo watu aliyosema mwalimu Nyerere.
Tusitoe mwanya kwa CCM ambayo haieleweki kua awamu ijayo wanaweza kujiongezea muda wa kukaa madarakani maana walishaamua kujiandaa na hilo. Tuwakatae hawa hawana nia njema na maisha ya watanzania hawa.
Tuchague viongozi watakaosimama na haki kwa watanzania wote bila kujali uwezo wao.
CCM tangu tupate uhuru wameichelewesha maendeleo nchi hii, hali tuliyonayo siyo mahali ambako tulitakiwa kuwepo. Wamekua wakigawana keki ya nchi hii ndiyo maana mpaka sasa hazieleweki ziliko 1.5t.
Tusitoe mwanya kwa CCM ambayo haieleweki kua awamu ijayo wanaweza kujiongezea muda wa kukaa madarakani maana walishaamua kujiandaa na hilo. Tuwakatae hawa hawana nia njema na maisha ya watanzania hawa.
Tuchague viongozi watakaosimama na haki kwa watanzania wote bila kujali uwezo wao.
CCM tangu tupate uhuru wameichelewesha maendeleo nchi hii, hali tuliyonayo siyo mahali ambako tulitakiwa kuwepo. Wamekua wakigawana keki ya nchi hii ndiyo maana mpaka sasa hazieleweki ziliko 1.5t.