Khaa......! Ndo ushakuwa urafiki wa mashaka?
Ntaenda kusema kwa MOD.:drama:
we erick,ujue bishanga atakugecha murra,unapewaje mi dedication na mama robi? Sema murra we kama nani:
Na mi naenda kukusemea kwa MOD... Umenigeuka..!!
Umeona eh? Mwambie basi anapoamua kuwa muongo ajitahidi awe na kumbukumbu?Amekugeuka je wakati ulisema mwenyewe
utakuwa unalala na skin tight.
:confused2::mwaaah::A S 100::coffee::coffee:
Umeona eh? Mwambie basi anapoamua kuwa muongo ajitahidi awe na kumbukumbu?
BTW mandenyi ushapata lunch? Kuna vihela vinaniwasha kwenye wallet yangu na hapa Chagga Bites wana machalari matamu sana....
:confused2::mwaaah::A S 100:
Hahahaha........... Kongosho siyo nyumba ndogo yangu bali asali yangu.Asante kwa kunipa hiyo offer,
napenda umwalike nyumba yako ndogo Kongosho,
mi sitaki ugomvi na akina mjukuu.
Sasa huku PM ndo nyumbani kwangu, ukiingia tu unabakwa. Get prepared....hahaha naenda kugombana na wewe kwenye PM.
Amekugeuka je wakati ulisema mwenyewe
utakuwa unalala na skin tight.
Sasa huku PM ndo nyumbani kwangu, ukiingia tu unabakwa. Get prepared....
Shemeji yangu tukutane samaki samaki badae!
Mi ntakuwa kwa mama Kamche watching from there...samaki samaki sio pazuri kwa afya yangu:coffee:
HeheheheheheeeeeeeSadly The secretary kanipiga chini kisa eti sura yangu utafikiri nimegongwa na treni.
Jana kuna mahali nimemwona erick na Mwali,usi panic lakini chunguza.
Nasikia mnaenda saluni moja na Lizzy,ukimwona mpe hai.