Chaguo la Msomaji.

Mkeo mwenyewe naniliyu yake kaishika mkononi tu
Kila anayemwona anampa mkono aishike, utajibeba mwaka huu
Na watakumegea hadi basi

Natoa ONYO kwa wafuatao:
... Kaizer
... Asprin
... Bishanga
... BAGAH
Nasema sitaki maongezi ya kimapenzi na mke wangu!
Ntawadunga busha ile kwenu ooooh Mnacheza na Kigoma eeeeh Amyner my love nakuja twende zetu kwa Kipipi kuna mzigo naufuata!
 
Mkeo mwenyewe naniliyu yake kaishika mkononi tu
Kila anayemwona anampa mkono aishike, utajibeba mwaka huu
Na watakumegea hadi basi
Cheeeee
Nawewe nawe naona ushaanza kuchukua tabia za Bishanga ...
Hivi Amyner hamuheshimiani eeeeh?
Heheheheeee akija ndio utajua nani atajibeba kati yangu na wewe! Kongosho hapa majungu hakuna
 
Last edited by a moderator:
Mkeo mwenyewe naniliyu yake kaishika mkononi tu
Kila anayemwona anampa mkono aishike, utajibeba mwaka huu
Na watakumegea hadi basi

Weeeeh.. Kwanza huwa haishikwi mkononi inafunikwa na kulindwa bibie.. Njoo nikufunde usiachike tena maana ndoa ya saba sasa mpaka Mungu atakupa red card!

Erickb52 baby.. Si wafahamu kwamba Kaizer ni mume wa dada yangu pia jirani, BAGAH ni mdogo wako, Asprin ni mtani wa jadi.. Bishanga is a stressed man hopelessly in love with TS and Lizzy ni wa kumwonea huruma tu!
You shouldnt worry AM ALL YOURS!
 
Last edited by a moderator:
Ok sawa bibie nimekuelewa...
Ila Kongosho mbea sana na ndo mana anahangaika km Bishanga
 
Last edited by a moderator:
Am glad to have you here 'my Yummy Yummy sweetie'........asante kwa kunijali chipenzi! Your 'my favourite' ya STL ije kwako, alafu na nyingine tena hii hapa uburudike nayo.....'niwe wako milele' by Nikki from Kenya!!

Senksi my Kipipi
 
Last edited by a moderator:
Cheeeee
Nawewe nawe naona ushaanza kuchukua tabia za Bishanga ...
Hivi Amyner hamuheshimiani eeeeh?
Heheheheeee akija ndio utajua nani atajibeba kati yangu na wewe! Kongosho hapa majungu hakuna


mie tu naaminika... si kweli Erickb52
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…