Chaguo la Msomaji.

samahani kuna wimbo uliimbwa na Daudi Kabaka ... shemeji shemeji huku mwazima taaa hii ni dedikesheni maalum kwa Nicas Mtei na wengine wenye kuhusika na wimbo huo
Hahahaaa SS huo wimbo sio wa Kabaka
 
Last edited by a moderator:
Hahahaa maisha ya zamani yalikuwa very fun kwa kweli...hakuna maisha poa km ya utoto

sana tu, bt watoto wa cku hz hawafaidi make wanaanza kindagaten,engl medium hawachez kombolela wala mdako! ce enz zile tulicheza michezo yote!
 
me love you all
nawadedicate wimbo wa Angela Chibalonza( RIP)Ebeneza uwaburudishi
kiafya siko powah leo lakini nawamiss nimepita kuwacheki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…