Chaguo la Msomaji.

Kwa wana jf wote nawapa huu. Mama yake na sofia mwambie sofia wangu yeye ..,......
 
kuna wimbo ulikuwa unaimbwa mwanangu kuwa nikutume.... nikutume kwa mfalme.... kuna ng-ombe zangu kumi na mbili.... nimesahau muimbaji ila naomba kuudediketi kwa Kipipi, Mphamvu, BADILI TABIA, Smile na the kiduku generation woote
 
Last edited by a moderator:
2. Hiki ni kipande cha wimbo wa Mbaraka Mwishehe nadediketi kwa kipipi

Kila apitapo nyumbani kuelekea kazinii
Sura yake ya kijapani na umbo lake lanitia wazimuuu

Nitamtuma mshenga akaulize wazazi wake
Nimempenda msichana akikubali tufunge ndoaa
platozoom hiyo dedication imenifanya nifurahi ati......thenki yuu!! Mi nakugea 'Eyes on me' ya kwake Celine Dion.......enjoy the vocal, words and the beats as well!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…