Chaguo la Msomaji.

Amyner nimekuona...hadi nimesahau kama ww ni shemeji angu!...usifanye ivo,jioni uje nikusimulie yote kuhusu braza!
 
Last edited by a moderator:

Kaizer mi nakupa "WILL U BE THERE- michael jackson"

ujumbe: tukumbukane kupitia salam club!
 
Last edited by a moderator:
Kaizer mi nakupa "WILL U BE THERE- michael jackson"

ujumbe: tukumbukane kupitia salam club!
Bibie Amyner naomba dedikesheni yangu unipie PM ili nikubwenge makwezi kwa utovu wako wa nidhamu.

Nakudediketia wimbo "Mgeni" wa TOT ya Kapten Komba wa Chama Cha Magamba.
 
Last edited by a moderator:
Hebu ninong'oneze..!?
Btw secretary hajambo?
Sadly,Thr Secretary kanipiga chini kisa eti sura yangu utafikiri nimegongwa na treni.
Jana kuna mahali nimemwona erick na mwali,usi panic lakini chunguza.
Nasikia mnaenda saluni moja na Lizzy,ukimwona mpe hai.
 
bishanga amezaliwa oshen rodi bana.
Naomba unishushie wimbo huu dedikesheni kwa Lizzy....source mbaraka mwinshehe.....
NACHUNGULIA DIRISHANI OH
NAONA NI MVUA INANYESHA OOH
NAULIZA MPENZI UTARUDI LINI OH
MATESO YANITOKE
NIFURAHI NAWE......
 
Last edited by a moderator:
Bibie Amyner naomba dedikesheni yangu unipie PM ili nikubwenge makwezi kwa utovu wako wa nidhamu.

Nakudediketia wimbo "Mgeni" wa TOT ya Kapten Komba wa Chama Cha Magamba.

Mi dedikesheni yako nairusha hewani kila mtu aisikie "Kigeugeu" wa jaguar..
Afu naomba umwambie na yule naniliu namtumia "NILIPE NISEPE" ..ujumbe utamfikia.
 
Last edited by a moderator:
bishanga amezaliwa oshen rodi bana.
Naomba unishushie wimbo huu dedikesheni kwa Lizzy....source mbaraka mwinshehe.....
NACHUNGULIA DIRISHANI OH
NAONA NI MVUA INANYESHA OOH
NAULIZA MPENZI UTARUDI LINI OH
MATESO YANITOKE
NIFURAHI NAWE......

Hehehe "USIENDE MBALI NAMI...MIMI BADO NAKUPENDA," hivi huu wimbo kaimba bishanga oops i mean bushoke na nani tena?
 
Sadly,Thr Secretary kanipiga chini kisa eti sura yangu utafikiri nimegongwa na treni.
Jana kuna mahali nimemwona erick na mwali,usi panic lakini chunguza.
Nasikia mnaenda saluni moja na Lizzy,ukimwona mpe hai.

Mwali huyu huyu?! I need a PRIVATE DETECTIVE!
Uchunguzi lazima ufanyike.. Btw Lizzy kanipa ujumbe wako.. kashapata habar zako unamfatilia mdogo wake!
 
Last edited by a moderator:
Mi dedikesheni yako nairusha hewani kila mtu aisikie "Kigeugeu" wa jaguar..
Afu naomba umwambie na yule naniliu namtumia "NILIPE NISEPE" ..ujumbe utamfikia.
Khaa......! Ndo ushakuwa urafiki wa mashaka?

Ntaenda kusema kwa MOD.:drama:
 
Nimeshakupatia mkuu, siunajua tena mi na Kipipi 'wangu' damu damu

Am glad to have you here 'my Yummy Yummy sweetie'........asante kwa kunijali chipenzi! Your 'my favourite' ya STL ije kwako, alafu na nyingine tena hii hapa uburudike nayo.....'niwe wako milele' by Nikki from Kenya!!
 
Last edited by a moderator:
Kaizer, nakudediketi wimbo wq 'Masudi amekuwa jambazi, ukikutana naye usiku upite mbali, kama sivyo . . . "
Bishanga, nakudediketi wimbo wa Bushoke-Mume bwe.ge
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…