Chaguzi za CCM inatajwa CHADEMA

Chaguzi za CCM inatajwa CHADEMA

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
CHADEMA wapo bize na mambo yao, lakini kwenye chaguzi za CCM zinazoendelea hivi sasa, wagombea lukuki wa CCM wanapoomba kuchaguliwa, hoja yao kubwa ni kuonesha kwamba wao wana uwezo wa kupambana na CHADEMA kuliko wagombea wenzao.

Nyie si huwa mnajifanya wazee wa sera. Kwa nini kwenye chaguzi zenu msielezane hizo sera zenu badala yake kutwa kucha mmetingwa na kuitaja taja CHADEMA?

Nyie watu vipi??
 
CHADEMA wapo bize na mambo yao, lakini kwenye chaguzi za CCM zinazoendelea hivi sasa, wagombea lukuki wa CCM wanapoomba kuchaguliwa, hoja yao kubwa ni kuonesha kwamba wao wana uwezo wa kupambana na CHADEMA kuliko wagombea wenzao.

Nyie si huwa mnajifanya wazee wa sera. Kwa nini kwenye chaguzi zenu msielezane hizo sera zenu badala yake kutwa kucha mmetingwa na kuitaja taja CHADEMA?

Nyie watu vipi??
Sababu wanajua ACT na CUF hazina issue
 
CHADEMA wapo bize na mambo yao, lakini kwenye chaguzi za CCM zinazoendelea hivi sasa, wagombea lukuki wa CCM wanapoomba kuchaguliwa, hoja yao kubwa ni kuonesha kwamba wao wana uwezo wa kupambana na CHADEMA kuliko wagombea wenzao.

Nyie si huwa mnajifanya wazee wa sera. Kwa nini kwenye chaguzi zenu msielezane hizo sera zenu badala yake kutwa kucha mmetingwa na kuitaja taja CHADEMA?

Nyie watu vipi??
CHADEMA ni chama tishio kwa umakini wake na uvumilivu wa hali ya juu.
 
CHADEMA wapo bize na mambo yao, lakini kwenye chaguzi za CCM zinazoendelea hivi sasa, wagombea lukuki wa CCM wanapoomba kuchaguliwa, hoja yao kubwa ni kuonesha kwamba wao wana uwezo wa kupambana na CHADEMA kuliko wagombea wenzao.

Nyie si huwa mnajifanya wazee wa sera. Kwa nini kwenye chaguzi zenu msielezane hizo sera zenu badala yake kutwa kucha mmetingwa na kuitaja taja CHADEMA?

Nyie watu vipi??

Wewe una sikio gani kwamba linasikia hotuba za chaguzi zote zinazoendelea huko CCM kwa wakati mmoja?

Na kama na nyinyi Chadema hamuwafuatilii CCM na mambo yao mnayajuaje?

Tunajua CCM wana matatizo yao ndiyo!

Lakini pia tunajua CDM inaishi kwa kutegemea KICk Za CCM!

Ni kama wewe Allen Kilewella unavyoitafuta kick yako kupitia CCM kwa topic hii.
 
Halafu wakiwa wameshiba kimpumu utasikia mara ooh cdm imekufa tangia aachie ukatibu mkuu mwaka 2015 yule aliyedai alikuwa anashindia mihogo.Sijui tuelewe lipi kuhusu perception za hii mijamaa cdm ni kitisho kwao au si kitisho?
 
Wewe una sikio gani kwamba linasikia hotuba za chaguzi zote zinazoendelea huko CCM kwa wakati mmoja?

Na kama na nyinyi Chadema hamuwafuatilii CCM na mambo yao mnayajuaje?

Tunajua CCM wana matatizo yao ndiyo!

Lakini pia tunajua CDM inaishi kwa kutegemea KICk Za CCM!

Ni kama wewe Allen Kilewella unavyoitafuta kick yako kupitia CCM kwa topic hii.
Nyambafu kimyaaa tumechoka na matozo
 
CHADEMA wapo bize na mambo yao, lakini kwenye chaguzi za CCM zinazoendelea hivi sasa, wagombea lukuki wa CCM wanapoomba kuchaguliwa, hoja yao kubwa ni kuonesha kwamba wao wana uwezo wa kupambana na CHADEMA kuliko wagombea wenzao.

Nyie si huwa mnajifanya wazee wa sera. Kwa nini kwenye chaguzi zenu msielezane hizo sera zenu badala yake kutwa kucha mmetingwa na kuitaja taja CHADEMA?

Nyie watu vipi??
CHADEMA ipo Mioyoni mwao
 
Back
Top Bottom