Chaguzi za serikali za mitaa Kura kupigwa kwa kuandika majina ya mgombea

Chaguzi za serikali za mitaa Kura kupigwa kwa kuandika majina ya mgombea

Ulimbo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2009
Posts
3,768
Reaction score
4,038
Leo nimesikia kwanye vyombo vya habari kuwa kweny changuzi za serikali za mitaa, kura zitapigwa kwa kuandika majina ya wagombea, bila kuwepo picha ya mgombea wala chama chake. Je hizi ni mbinu au teknolojia mpya ya kupiga kura au ndo baadhi ya mbinu za ccm kama alivyowahi kusema mzee JMchl?
 
Sijasikia hilo tangazo. Inabidi kufanyia kazi hii kitu. Kama ndivyo this is serious.
 
Hio ni kweli, si mnafahamu kuwa maajabu hapa duniani yamebaki hapa Tanzania tu.
 
Sijasikia hilo tangazo. Inabidi kufanyia kazi hii kitu. Kama ndivyo this is serious.

Nimesoma habari hizi katika gazeti la habari leo, Tar 10.10.2009
 
Kama hali ndo ilivyo, walewasiojua kusoma na kuandika itakuwaje? Kipindi cha njuma walikuwa na watu waliowachagua ili kuwasaidia, na kwa vile karatasi zilikuwa na picha,majina ya wagombea na vyama vyao, ilikuwa raisikumtamba mgombea hata kwa sura, lakini sasa hatakama watawatafuta watu wa kuwasaidia, 100% ya maamuzi yatafanywa na watu hao kwani hata kama watamwabia aandike jina la mgomea wa chama fulani, kwasababu hajui kusoma, yule mtu anaweza kuandika jina tofauti. Tatizo lingene litatokea kwenye spelling za majina watu watakosea sana na kufanya kura zisemekane zimearibika.
 
Sijui watu walijua kuwa utaratibu utakuwa hivyo ndo maana wengi hawakujitokeza kujiandikisha kupiga kura, au ndo wanasusia kwani hata kama watapiga kura, yule aliyepangwa na ccm ndiye atakaye pita hatakama hakuchaguliwa na wananchi.
 
Back
Top Bottom