Naanza kwa samahani siyo mwandishi mzuri. Cha msingi, ujumbe ufike moja kwa moja kwenye hoja.
Nilitaka kushiriki chaguzi za mitaa zilizopita, nikanyimwa kupiga kura kisa sina kadi ya chama. Hivi kila Mtanzania ana chama, hili suala ni lazima. Mbona chaguzi za mbunge, Rais na diwani hazina utaratibu huo? Na inawezekanaje watu kuongozwa na kiongozi ambaye hawakumchagua na wala hana sifa, ila anajulikana kwenye chama tu?
Hili ni jambo la ajabu sana linafanyika kwenye chaguzi za serikali za mitaa. Tunaomba hili liangaliwe kwa makini, lina ukakasi.
Nilitaka kushiriki chaguzi za mitaa zilizopita, nikanyimwa kupiga kura kisa sina kadi ya chama. Hivi kila Mtanzania ana chama, hili suala ni lazima. Mbona chaguzi za mbunge, Rais na diwani hazina utaratibu huo? Na inawezekanaje watu kuongozwa na kiongozi ambaye hawakumchagua na wala hana sifa, ila anajulikana kwenye chama tu?
Hili ni jambo la ajabu sana linafanyika kwenye chaguzi za serikali za mitaa. Tunaomba hili liangaliwe kwa makini, lina ukakasi.