NakaziaKazi kwako.
Kama una muda wa kutunga chai na hulipwi si bora ukaanzishe group la watsap la kulipia utungie watu stori zako za chai, maana walipaji hawatakosekana
Upo sahihi Mkuu.Kazi kwako.
Kama una muda wa kutunga chai na hulipwi si bora ukaanzishe group la watsap la kulipia utungie watu stori zako za chai, maana walipaji hawatakosekana
Uzuri ni kwamba haunijui Mkuu, laiti Kama ungenijua mimi ni nani usingesema ulichonena hapo.ππpunguza kushinda huku,fanya kazi,wenzio washinda humu ni majobless π€£π€£shaurilo,wanatafuta umaarufu wa mitandaoni kujifariji.
Imekaa poa Leejay49 πWachangiaji tuko hapa mkuu, utapata comments na likes za kutosha tu.. au raraa reree unasemaje ππ
Mkuu maisha ni hayahaya, cha msingi ni kuijenga Future iliyobora.Wachangiaji tuko hapa mkuu, utapata comments na likes za kutosha tu.. au raraa reree unasemaje [emoji6][emoji41]
No Hard Feelings Mkuu.[emoji23][emoji23]punguza kushinda huku,fanya kazi,wenzio washinda humu ni majobless [emoji1787][emoji1787]shaurilo,wanatafuta umaarufu wa mitandaoni kujifariji.
Okay, usisite kunitag..Nikiwa na muda Mkuu, maana majukumu yana mambo mengi.
NAKUPENDA MKUU.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue