CHAI na USINGIZI vina uhusiano gani?

CHAI na USINGIZI vina uhusiano gani?

Shuku_

Senior Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
174
Reaction score
216
Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽

Binafsi nna mda mrefu situmii (kunywa) chai kama sehemu ya mlo wangu wa asubuhi.

Kwa7b CHAI imekuwa inanipa usingizi baada ya kuinywa, hivyo baada ya kunywa tu uchovu hunijia na ni lazima nitafute sehemu ili nilale ili kuondoa uchovu huo unaoletwa na unywaji wa CHAI.

Nisipokunywa CHAI hali hiyo ya USINGIZI siwezi kuipata wakati wa asubuhi.

Hivyo imenilazimu kuacha unywaji wa chai kwa7b ya usingizi na mpaka sasa nna miaka mingi tangu niache unywaji huo.
______________________

Lengo la kuleta hoja hii nahitaji kujua hali hii inanipata mm tu au watu wote wanao tumia chai nchi?.
 

Attachments

  • images (5) (2).jpeg
    images (5) (2).jpeg
    32 KB · Views: 5
Uji wenyewe unasinzia....
Sema nini,shibe ni mwanamalevya
 
Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽

Binafsi nna mda mrefu situmii (kunywa) chai kama sehemu ya mlo wangu wa asubuhi.

Kwa7b CHAI imekuwa inanipa usingizi baada ya kuinywa, hivyo baada ya kunywa tu uchovu hunijia na ni lazima nitafute sehemu ili nilale ili kuondoa uchovu huo unaoletwa na unywaji wa CHAI.

Nisipokunywa CHAI hali hiyo ya USINGIZI siwezi kuipata wakati wa asubuhi.

Hivyo imenilazimu kuacha unywaji wa chai kwa7b ya usingizi na mpaka sasa nna miaka mingi tangu niache unywaji huo.
______________________

Lengo la kuleta hoja hii nahitaji kujua hali hii inanipata mm tu au watu wote wanao tumia chai nchi?.
Chai kwa maana kile kimiminika kinatoa Usingizi na kukuchangamsha, kinacholeta usingizi pengine ni kitafunwa, Vitu vyenye wanga na mafuta vinasababisha usikie usingizi. Unaweza piga Chai na Mihogo ya kukaanga ukaskia usingizi ni Mihogo ndio imesababisha na sio Chai.
 
Kwa7bu ni kifupi cha kwasababu sio?

Ishu ni uvivu wa kuandika au ndio tayari una usingizi umekunywa chai zako za sukari gulu?
 
Kwasababu chai ina k
Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽

Binafsi nna mda mrefu situmii (kunywa) chai kama sehemu ya mlo wangu wa asubuhi.

Kwa7b CHAI imekuwa inanipa usingizi baada ya kuinywa, hivyo baada ya kunywa tu uchovu hunijia na ni lazima nitafute sehemu ili nilale ili kuondoa uchovu huo unaoletwa na unywaji wa CHAI.

Nisipokunywa CHAI hali hiyo ya USINGIZI siwezi kuipata wakati wa asubuhi.

Hivyo imenilazimu kuacha unywaji wa chai kwa7b ya usingizi na mpaka sasa nna miaka mingi tangu niache unywaji huo.
______________________

Lengo la kuleta hoja hii nahitaji kujua hali hii inanipata mm tu au watu wote wanao tumia chai nchi?.
Wenye chai kuna caffeine,caffeine inaleta sedative( sedation) effect that sedative effect can depress central nervous system!
 
Kwa7bu ni kifupi cha kwasababu sio?

Ishu ni uvivu wa kuandika au ndio tayari una usingizi umekunywa chai zako za sukari gulu?
Hili ndo tatizo la wabongo wengi!

Unaacha kusimama kwenye mada we unakwenda kujadili jambo ambalo halina uzito.
“ACHA UJUAJI”
 
Hili ndo tatizo la wabongo wengi!

Unaacha kusimama kwenye mada we unakwenda kujadili jambo ambalo halina uzito.
“ACHA UJUAJI”
Mada ya kuandika kwa7bu?

Wewe ndio acha ujuaji. Elimika achana na uandishi unaoondoa thamani huo

By the way mimi ni mbongo kweli wala sibishi. Tena kwa baba na mama
 
Back
Top Bottom