Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
A malaise of despair, state of confusion, and just being downright overwhelmed...Is it just me or does everybody or most people feel this way? Viongozi wa serikali na chama tawala kulumbana na kutukanana hadharani kupitia vyombo vya habari. Kuhojiana nani ni mwanachama halisi na nani si mwanachama halisi. They are spending more time beefing than working. What the hell is going on?
Chain of command ya CCM ikoje? How do they resolve their conflicts? Does the chairman even command respect? I doubt that he does. If he did he should have nipped all the bickering, all the nonsense, and all the foolishness in the bud. But things seem to get worse day after day which is clear indication to me that he can't lead.
And where is the opposition leadership in all this mess? Don't tell me they are playing politricks 101: If your enemies are fighting don't get get in the way. Natamani Bongo ingekuwa kama majuu. Ingekuwa kama majuu haya majamaa ya CCM mwaka huu ndio ungekuwa wa mwisho kwao kuwa na madaraka. Lakini kwa vile Miafrika Mitanzania ni mijinga, hii mijamaa ya CCM itaendelea kutawala kwa muda mrefu sana.
Ooh well....
Chain of command ya CCM ikoje? How do they resolve their conflicts? Does the chairman even command respect? I doubt that he does. If he did he should have nipped all the bickering, all the nonsense, and all the foolishness in the bud. But things seem to get worse day after day which is clear indication to me that he can't lead.
And where is the opposition leadership in all this mess? Don't tell me they are playing politricks 101: If your enemies are fighting don't get get in the way. Natamani Bongo ingekuwa kama majuu. Ingekuwa kama majuu haya majamaa ya CCM mwaka huu ndio ungekuwa wa mwisho kwao kuwa na madaraka. Lakini kwa vile Miafrika Mitanzania ni mijinga, hii mijamaa ya CCM itaendelea kutawala kwa muda mrefu sana.
Ooh well....