Chaji simu yako ikifika 40% ili isipate shida ya battery

Chaji simu yako ikifika 40% ili isipate shida ya battery

Spartacus boy

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,727
Reaction score
3,464
Heri ya noeli na mwaka mpya.

Wote tunajua umuhimu wa kuwepo hewani kimawasiliano. Either kikawaida au kwa kua 'access' mtandao. Muda wa mtu Kuwepo hewani kwa asilimia kubwa kunakuwa determined na uwezo battery ya simu yako.

Ndio maana zama zile wakati simu ndio zinaingia kigezo kikubwa wakati wa kununua ilikuwa ni ilikuwa ' battery lake linakaa siku ngapi??'

Kiufupi ilikuwa ni kwamba speciation kuu kwa mtu kuchagua Siemens, nokia Phillips etc kama makampuni ya simu ilikuwa ni uwezo wa battery.

Tuondoke huko analogy era.
Baada ya kuingia simu janja kama miaka kumi hv smartphones ama simu janja wengi tumeona makampuni mengi yakiboresha na kuweka madoido mengi kwenye hizi simu kwenye issue za storage, ram, uwezo wa camera, processor nk.
Lkn uwezo wa battery in terms of mAH kama ni kipimo cha ukubwa na uwezo wa battery ndipo wabongo wengi sie huzingatia saaana.

Simu nyingi zinazotolewa kwa kuanzia miaka 3 nyuma zimekuwa zikiboreshwa uwezo wa battery. Mfano simu za Samsung zilikuwa zikilalamikiwa kuwa na battery mbovu sana. Lakini matoleo ya A series yalionesha jinsi kampuni ilivoleta matoleo yenye battry kuanzia 4000 maH.
Tuende kwnye lengo la uzi huu.

ILI KUFANYA BATTERY ISIISHE HARAKA BASI CHAJI SIMU IKIPUNGUA HADI 40%
Yaani ikifika tu 40% iweke chaji.
Faida zake ni hizi
A) Battery kuchelewa kuisha chaji

Ukiwa unachaji simu ikiwa asilimia 40 hadi kufikia 100% uishaji wa chaji huwa ni wa taratibu sana mpk kuifikia 40% ikiwa imetoka kuchajiwa ikajaa.
Mimi kiufupi simu yangu ina mAH 4000 na nimeexperience kuichaji ikifika 40% na kweli tokea asbh mpk usiku nitatumia weeee ndio unakuta naenda lala usiku ikiwa 40%+. Hapo nilikuwa nina access mtandao, kupiga, music nk.

B) Kuongeza lifespan ya battery yako.

Simu yangu niliiinunua August mwaka jana 2020.lakini mpaka leo battery ina nguvu.
Kwanza toka nanunua huwa najitahidi ikifika hiyo 40% naiweka chaji. Afu huwa siitumii on charge. Naitunza simu yangu kwa kweli hadi nikiwa masomoni mates zangu walikuwa wakiishika wananiambia aisee unaitunza sana simu yako. Kingine huwa najitahidi nisishare chaji na simu nyingine. Simu yangu huwa inaua USB baada ya kuchajia simu nyingine. Haitaki kabisa. Usb ikitumika huko nikaitumia mimi basi simu itakaa siku nzima unakuta 12% na tena iyo USB inauwawa kabisa haitumiki kwingine tena.
Kushare chaji ni ujuha mwingine.
 
Hii inatuhusu na sisi wa infinix?
Ndio mkuu. Kwa sababu kama infinix nyingi zina 5000 mAh na kuendelea. Kadri simu unavotumia ndio uwezo wake hupungua mdogo mdogo. So ukiwa unatumia vibay mf kuchaji hovyo hovyo, husubiri ifikie 40% basi hiyo infinix haitakuwa tofaut na. I phone
So haijalishi simu yako una battery mkubwa kiasi gani. Utunzaji ni ule ule kwa better lifespan of your battery [emoji367]
 
Wenye iphone 13 pro max tunaruhusiwa kucomment au?
 
Wengine wanadai kuwa ili simu iendelee kudumu battery inatakiwa kuchajiwa ikiwa 10% yaani iko empty kabisa na simu inakuambia uconnect chaji....
 
Nyingine ni imani tu
Ujazo wa elfu 4000 ni mkubwa sana
Chaji kuisha hovyo
watengenezaji simu wameboresha sana siku hizi
Uzuri wa simu utumie hadi ibaki 2%
Uchomeke chaji uendelee nayo hapo hapo
Usingizi ndiyo ukusaidie simu ijae vizuri na kuamka tu uamke nayo

Betri imara ni imara tu
Nadhani hizo zilipendwa
Betri kwa sasa zimezingatiwa sana

Yani 40% nipeleke simu chaji?
Siyo kweli
 
Hio ni myth niseme ya watanzania ..kutumia hadi iishe kabisa unaichosha battery haraka lifespan yake inapungua haraka kuliko mtu anaeishia 40 ..me huwa kila nikipata nafasi ya kuichaji nachaji sipendi iacha iwe na 34% kushuka muda wote ipo hapo kupanda hadi 80

According to watengenezaji wa LIpo na Li-ion wanashauri isitumike sana wala isijazwe sana kila mtu simu yake inajaa kwa 4.2V au 4.35volt ... Kuijaza ikakaa hapo muda mrefu unaipa stress hizo chemical huko ndani ya battery uchakavu huja mapema nikimaanisha mtu mwenye simu sawa na yako kila kitu mkapewa mpya mkaanza tumia mmoja akawa anachaji to 100% na inaweza jaa sa nne usiku hadi anaamka ipo 100% still plugged in afu anatumia to 5% au hadi inazima na mtu mwngne simu yake haijawahi shuka 30% hata kama akiichaji to 100% after 1year or 2yrs ya matumizi yenu huyo mtu wa pili simu yake battery itakuwa na health nzuri zaidi kuliko huyo wa kwanza

Life cycle za hizi battery huwaga ni 500 cycle na itapungua au kushuka kulingana na quality ya battery husika ...manake after hizo cycle battery itashuka to 80% from the original capacity ..matumizi mabaya pia yanaeza punguza hizo cycle .. temperature pia, over discharge,, ..

Ila according to research battery unaweza i double hizo cycle kama utacharge to only 80% ..yani matumizi yako yanakuwa kati ya 30% to 80% ambapo hapo kati kati kuna 50% ambayo ni sawa na 2000mAH kwenye battery ya 4000mah hivo ukizingatia na kutoiweka mahali penye joto battery yako inaweza maliza 3yrs na capacity haijashuka au kufika 80% ya ikiwa mpya

Siwezi andika kila kitu mtu akiwa na swali atauliza


Wengine wanadai kuwa ili simu iendelee kudumu battery inatakiwa kuchajiwa ikiwa 10% yaani iko empty kabisa na simu inakuambia uconnect chaji....
 
Nyingine ni imani tu
Ujazo wa elfu 4000 ni mkubwa sana
Chaji kuisha hovyo
watengenezaji simu wameboresha sana siku hizi
Uzuri wa simu utumie hadi ibaki 2%
Uchomeke chaji uendelee nayo hapo hapo
Usingizi ndiyo ukusaidie simu ijae vizuri na kuamka tu uamke nayo

Betri imara ni imara tu
Nadhani hizo zilipendwa
Betri kwa sasa zimezingatiwa sana

Yani 40% nipeleke simu chaji?
Siyo kweli
Kwa hio unabishana na ukweli...

Battery za simu husika zote zinakuwa sawa ila kama unajua kwenye iphone kuna battery health jiulize kwann zile namba zinayofautiana mwngne 80% mwngne 85,90,100 ikiwa zote ni imara
 
Back
Top Bottom