Watanzania wote hatuna akili,umeona nauli umefanya niniWalimu wetu ndio hawana akili namna hii??
Nauli ya nini??Watanzania wote hatuna akili,umeona nauli umefanya nini
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Hiyo ILO itamsaidia Nini mwalimu. To hell with CWT... IFE NA IBAKIE MZOGA NOW AND FOR EVER..Naomba kuwauliza nyie walimu:
1. Kule kwenye international forum ikitokea mwaliko ni mwakilishi yupi mtamtuma? kutoka chama gani?
2. Je ILO inatambua kwamba ndani ya nchi yetu kuna chama zaidi ya kimoja kinachotetea maslahi ya watumishi wa kada moja?
3. Serikali imeingia mkataba na vyama vyote hivi au ni geresha?
4. Makato halisi kwa mujibu wa sheria ni yapi? Je ni 2% au ni kiasi chochote mtu anachoamua?
Ufahamu wangu ni mdogo juu ya mambo haya, naomba wadau mnisaidie.
Naomba kuwauliza nyie walimu:
1. Kule kwenye international forum ikitokea mwaliko ni mwakilishi yupi mtamtuma? kutoka chama gani?
2. Je ILO inatambua kwamba ndani ya nchi yetu kuna chama zaidi ya kimoja kinachotetea maslahi ya watumishi wa kada moja?
3. Serikali imeingia mkataba na vyama vyote hivi au ni geresha?
4. Makato halisi kwa mujibu wa sheria ni yapi? Je ni 2% au ni kiasi chochote mtu anachoamua?
Ufahamu wangu ni mdogo juu ya mambo haya, naomba wadau mnisaidie.
akaniambia habari ndio hiyo sheria zimelala Tanzania, acha sisi tujipatie ridhiki' alisema Twalibu Nyamkunga Katibu Mkuu wa chama iko.[/URL]
Sio mwanachama tu bali ana cheo huko CWTSawa mwanachama wa CWT
Na kwanini ulazimishwe kujiunga na CWT, hapo ndio huwa napata shidaNyie vibaraka wa mabaradhuli C W T acheni kupotosha. Yaani ni heri kumchangia yatima 5000/-kuliko kumchangia hiyo CWT 2% ya mishahara Kila mwezi kwa ajili ya kuwatunza wachumia tumbo waliojazana kwenye maofisi Yao. Hawana msaada wowote kwa walimu.
CWT ni wezi wa mishahara ya walimu. Ni wanyonyaji, kupe anavyonza tu na hamsaidii mwalimu kwa chochote .
Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Mi nimefichua yaliyojificha kupitia walimu wenyewe, kuwa CHAKUHAWATA wanagawana fedha za walimu kama Upatu ,kwa mgawanyo huo..Mh! Huo ni uongo hata kama anaiba hawezi kukupa majibu ya namna hiyo, wewe nani hasa wa kuuliza maswali?!
HahahahahChai. Hata mtu awe na upumbavu, hawezi kujibu hivi mbele za watu.
Makato hayatakiwi kuzidi 2%. Mwakilishi anatoka katika chama chenye wanachama wengi.Naomba kuwauliza nyie walimu:
1. Kule kwenye international forum ikitokea mwaliko ni mwakilishi yupi mtamtuma? kutoka chama gani?
2. Je ILO inatambua kwamba ndani ya nchi yetu kuna chama zaidi ya kimoja kinachotetea maslahi ya watumishi wa kada moja?
3. Serikali imeingia mkataba na vyama vyote hivi au ni geresha?
4. Makato halisi kwa mujibu wa sheria ni yapi? Je ni 2% au ni kiasi chochote mtu anachoamua?
Ufahamu wangu ni mdogo juu ya mambo haya, naomba wadau mnisaidie.
Naomba kuwauliza nyie walimu:
1. Kule kwenye international forum ikitokea mwaliko ni mwakilishi yupi mtamtuma? kutoka chama gani?
2. Je ILO inatambua kwamba ndani ya nchi yetu kuna chama zaidi ya kimoja kinachotetea maslahi ya watumishi wa kada moja?
3. Serikali imeingia mkataba na vyama vyote hivi au ni geresha?
4. Makato halisi kwa mujibu wa sheria ni yapi? Je ni 2% au ni kiasi chochote mtu anachoamua?
Ufahamu wangu ni mdogo juu ya mambo haya, naomba wadau mnisaidie.