Chakula cha kuku Dagaa, Samaki ni sawa na Uduvi

Chakula cha kuku Dagaa, Samaki ni sawa na Uduvi

x - mas

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
931
Reaction score
612
Habari zenu wadau wa jukwaa hili, Naomba kufahamishwa kwa anayefahamu kuhusu virutubisho vinavyopatikana katika Uduvi kama ni sawa na vile vinavyo patikana katika Dagaa, Samaki.
 
ya ni sawa kabisa, na ni wazuri kuliko hata hao samaki kwa sababu some time samaki wanasababisha magonjwa kwa kuku, vitu vingine vyenye protein nyingi sana funza, mchwa
 
Mkuu Chasha Poultry Farm funguka vizuri ndg yangu kuhusu funza, make wanaopatikana kwa wingi ni wale wa vyoo vya shimo(samahani kwa nitakaowachefua) je, nao pia wanafaa kuwa virutubisho kama watakaushwa kwa ustadi?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Chasha Poultry Farm funguka vizuri ndg yangu kuhusu funza, make wanaopatikana kwa wingi ni wale wa vyoo vya shimo(samahani kwa nitakaowachefua) je, nao pia wanafaa kuwa virutubisho kama watakaushwa kwa ustadi?

Mkuu ni Red worms, hawa wanafugwa sana kenya na wanauzwa watu hununua kwenda kulishia kuku au kwenye maswala ya Organic farming.
 
ya ni sawa kabisa, na ni wazuri kuliko hata hao samaki kwa sababu some time samaki wanasababisha magonjwa kwa kuku, vitu vingine vyenye protein nyingi sana funza, mchwa

kama ndio hvo poa sana kwa sababu hawa wadudu wanapatikana sana siku hz.
 
Chasa nataka kukuuliza maswali coz leo nmekupata,kwanza we ndo uli-influence kuingia kwenye industry ubarikiwe sana huna choyo!
1.nina vifaranga wangu wana umri wa mwezi 1 wa kienyeji wananyoka manyoya ila sio sana.ni tatizo gani?
2.Kuna miti inaitwa Lucina nmeanza kuwapa eti nikweli yana protein kwa wingi.
3. nataka kufuga kuku wa mayai wa kisasa nipandishe na majogoo ya kienyeji,je watoto wanaweza kujichunga kama wa kienyeji pia?
ni hayo tu mkuu
 
Chasa nataka kukuuliza maswali coz leo nmekupata,kwanza we ndo uli-influence kuingia kwenye industry ubarikiwe sana huna choyo!
1.nina vifaranga wangu wana umri wa mwezi 1 wa kienyeji wananyoka manyoya ila sio sana.ni tatizo gani?
2.Kuna miti inaitwa Lucina nmeanza kuwapa eti nikweli yana protein kwa wingi.
3. nataka kufuga kuku wa mayai wa kisasa nipandishe na majogoo ya kienyeji,je watoto wanaweza kujichunga kama wa kienyeji pia?
ni hayo tu mkuu

1. Kunyonyoka manyoya mara nyingi kuna sababishwa na lishe, kama unawafungia ndani basi hiyo ni sababu kubwa au utitiri nao unaweza sababisha hilo

2. Yes ina protein nyingi sana na ni nzuri sana kwa kuwalishia kuku

3. Cross breeding inahitaji elimu si kila kuku ni wa kufanyiwa cross breeding, hao kuku wa mayai ki kwa ajili ya mayai ni si kwa ajili ya cross kuna kuku maalumu wa cross breeding,
 
Asante kaka ubarikiwe sana,karibu Mwanza na Bariadi
 
ya ni sawa kabisa, na ni wazuri kuliko hata hao samaki kwa sababu some time samaki wanasababisha magonjwa kwa kuku, vitu vingine vyenye protein nyingi sana funza, mchwa

nisaidie formula ya kutengeneza kg 100 chakula ya vifaranga wa broiler
 
Back
Top Bottom