Chakula cha kuku

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
*Unamualika binti lunch alafu anakuja kwa maringo, etii ooh bby ata sitakula wakat natoka home nimekula kuku choma na chips........ww kwa ugentlemen wako unamnunulia whiskey ya jack daniels ya elfu 50, baada ya binti wa watu kunywa mafunda kadhaa anatapika makande na mahindi ya kuchoma wallah.....sas hapo inabidi umuulize romantically....bby are u sure ulikula kuku au chakula cha kuku..???*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji13][emoji13][emoji13]
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Lazima hapo uone/ujihisi aibu kumshitua Muhudumu (Waiter) utatamani kuzoa/kufuta mwenyewe Matapishi...!!

Wanaume tumezidisha sana udhaifu kwa viumbe hawa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…