Hivi ni kweli ukila chakula chenye mchanganyiko na mafuta ya taa(kerosene) huondoa au kupunguza hamu ya kushiriki tendo la ndoa kwa wale waliooa na kuolewa na uasherati au ngono kwa ambao hawajaoa au kuolewa?
Nimeskia kuwa hasa wale waliosoma single sex school hii kitu huchanganywa na misosi ili kupunguza Nyege ili wawe watulivu. Je ni kweli?
Naomba ikiwezekana mwenye uhakika na hili anisaidie mawazo au majibu.
Kwenye shule za jinsia moja ni kweli huwa wanaweka mafuta ya taa kiasi flani kwenye chakula, ila sijajua kama ni kweli yanaondoa nyege au la. Ila kama ni kweli mafuta ya taa yanapunguza au kuondoa nyege kwanini mpaka leo hizi shule ndo zinaongoza kwa kutoa wanachama waliotukuka wa 'CHAPUTA'
Nilikuwa kila nikila msosi nikiwa sec nasikia harufu ya mafuta ya taa!..
Siku moja nikatime nikaingia jikoni, kufika nikasikia wanasema ongeza kidogo bado, haya maharage hayajakolea!
Basi mimi nikaua so ila siku ile sikula nikataka niulizie kwa nini but nikaamua kupotezea tu...