Chakula gani kitamfaa mtoto wa miezi sita?

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
27,031
Reaction score
49,928
Mtoto wangu ataanza kula wiki inayokuja maana anafikisha miezi sita naombeni diet nzuri sitaki anenepe sana kama mama yake maana hapa kananyonya tu ila ana 10 kg.
nimpe chakula gani?
 
Uji niachane nao?
Uji sio lazima swty cha muhimu mtoto apate balanced meal hizo veges unapika na kipande cha samaki au nyama unablend pamoja unakua uji mzuri tu wenye virutubisho vyote,kunenepa ni wanga unakua mwingi na kumlazimisha mtoto kula chakula kingi zaidi ya mahitaji yake
 
Hapo kwenye mtoto kuwa na kilo 10, na hajafikisha hata miezi 6....!!
Kidogo omenishtua mkuu, sababu kiafya sio salama sana kwa mtoto kupata uzito kiasihicho ikiwa yupo chini ya miezi 6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…