Chakula gani kitumike ili kuboresha na kuzalisha manii?

Yayo

Member
Joined
Aug 7, 2012
Posts
15
Reaction score
1
Jamani kamakuna mtu anauelewa kuhusu jambo hili tusaidianae tuteushauri namawazo yakiutuuzima.
 
Duuh mkuu vipi tena,hayapo kabisa au unataka kukaangia chipsi?n way vyovyote iwavyo labda ushauri wa mdau hapo juu utakusaidia
 
Mkuu yayo jaribu kutumia vyakula vyenye uasili wake kama vile karanga mbichi, ndizimbivu,embe n.k
 
No no no! ni ukweli kabisa! apige punyeto mara 6 kwa siku ni bonge la tiba!
Mkuu akili yako haina akili, yaonekana mda wote kichwa chako kimejaa ujinga na upumbavu, pole sana
Ukishakuwa nakujitambua utaacha.
 
Pendelea kunywa chai maziwa yenye viungo badala ya sukari weka asali angala mara 3 kwa wiki.Rafiki yangu alitumia hivyo baada ya wiki nilimkuta kalala nikadhani alikuwa ameweka mshumaa kwenye bukta.
 
tangawizi + karoti + vitunguu saumu muda wa wiki utakuja kutoa majibu hapa na utakuwa kidume kabisa bila kusahau mazoezi ya viumgo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…