Chakula gani unatamani kula kwenye maisha yako?

Chakula gani unatamani kula kwenye maisha yako?

Bedui la bongo

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2018
Posts
297
Reaction score
306
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza, kila mtu duniani muda mwingine hutamani kula kitu ambacho hajawahawi kula kutokana na mazingira yalivyo kwake.

Mtu mwingine anatamani kula kitu flani sena inashindikana huenda fedha hana au hamna wataalamu wa hicho chakula anachotaka nchi husika.

Mimi binafsi natamani sana siku nipate msosi wa nyama ya chatu au koboko cobra hivi ambaye amerostiwa vizuri kwa nyanya karoti hoho pilipili za kihindi na ugali wa muhogo nawaza huu msosi ntaupata wapi hapa TZ.
 
Nasikia hiki no chakula cha heshima sn huko Zambia,natamani siku moja nije kula

Screenshot_2022-05-19-07-25-29-53.jpg
 
Nyama, Maziwa na Asali non-stop for a month or 2 at one place with slightly movements.
 
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza, kila mtu duniani muda mwingine hutamani kula kitu ambacho hajawahawi kula kutokana na mazingira yalivyo kwake.

Mtu mwingine anatamani kula kitu flani sena inashindikana huenda fedha hana au hamna wataalamu wa hicho chakula anachotaka nchi husika.

Mimi binafsi natamani sana siku nipate msosi wa nyama ya chatu au koboko cobra hivi ambaye amerostiwa vizuri kwa nyanya karoti hoho pilipili za kihindi na ugali wa muhogo nawaza huu msosi ntaupata wapi hapa TZ.

Tz kuna Chinese restaurants nahis, hata mm natamani siku nikale huyo nyoka sijui nge aliyepikwa na wachina wenyewe
 
Back
Top Bottom