LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,483
- 3,369
Mmm,kazi kweli Jf.Yaani watu hata ukakasi na aibu hawana hata kidogo.Hivi usingeweza kumuona daktari wa mambo hayo kama una tatizo privately.
Yote ni tisa kumi ni akili iwe tayari na u du na unayempenda. La sivyo hata msosi wako uwe pweza kila siku hakuna kitu.
tisha sana mkuuchukua kitunguu swaumu kisageeeeee harafu changanya na asali, kunywa, yaan minimum bao tano. Hakuna.
kuchoka.
Nadhani hilo si jibu, usiombe nikutusi.....
hivi mlishachukua kombe mkuu?Mkubwa! JF ni mambo yote! Anika mambo yako huduma yote utapata!
habari yako Mdada, za siku?ivi kumbe kujua kutusi nako ni sifa eeh!!
habari yako Mdada, za siku?
Mi mzima usipotee hivyo unatukwaza wenye nia nawe!habari njema tuu kama mzurii vipi umzzima wewe??
Mi mzima usipotee hivyo unatukwaza wenye nia nawe!
hivi kweli najua? .....ngoja nikakujibie PM!mi sijapotea bhana ila life ikibana inabidi niombe poo mwenzio si unajua tena??
Yote ni tisa kumi ni akili iwe tayari na u du na unayempenda. La sivyo hata msosi wako uwe pweza kila siku hakuna kitu.
hivi mlishachukua kombe mkuu?
Utajiri bila nguvu za kiume ni kovu juu ya kiparatukiutafuta utajiri Kama unavyotafuta nguvu za kiume, uchumi wetu utakua